Natamani kumuoa tatizo umri.....

Natamani kumuoa tatizo umri.....

It is said with some justification that when a woman is ready for intercourse her Virgina dilet so that is ready to accept any size of a cock so age is just a number it doesn't make any difference no matter how much you differ in age
 
mim nooo huwez jua amekukubal ile ya kitoto akikuwa hapo akubadlikie aanze kukimbizana na wenzia kuwa makin
 
aisee kazi kweli kweli, sasa kama wewe ni mwanaume unakosea sana kuoa binti wa interval kubwa ya umri. Sababu ni hii na huenda nitatofautiana na watu wengi..sensa ya mwaka 2000 indicatively ilionesha kuwa wanaume wengi wanakufa kwa umri wa 10yrs or more earlier than their spouses kutokana na sababu mbalimbali ikiwepo pia na ustahimilivu wa stress. Sasa mkuu we unaoa mke wa 10yrs less kwa maana ya takwim hizo unaweza muacha akiwa bado anahitaji kuwa na partiner. So inashauriwa kuoa mke ALIYEKUZIDI UMRI angalau miaka 5-10 ili at least ukifariki usimuache mpweke kwa siku nyingi.

Ni maoni yangu tu na hata wewe unaesoma unaweza kuwa shahidi, wajane ni wengi kuliko wagane

You have a point..........tumia lugha rahisi watu tukuelewe vizuri.
 
Wewe una umri gani na binti umri gani? Isije kuwa una 27 na unataka kuoa wa 17....unaweza ishia gerezani!
 
Hpaa sheria za nchi zmekiukwa,mwalim unakula mwanafunz wako,, aseeee mvua 30 halali kwako,et mmekutana uraiank!!!!?
 
Alafu inaonesha utakuwa mzee sana wewe mpaka unaona soo kuoa hako kachalingo kako...
 
We mandela ulimzidi winnie madikizela miaka mingapi?na graca je ??sasa iweje leo miaka 10 unaona mingi?
 
Tuna tofautiana umri mkubwa sana nimemuacha 10yrs but uki tuaangalia kimuonekano wetu utasema kama tunapishana 4yrs vile,

Binti mzuri tu kisura,umbo mpaka tabia,good enough ni kua namfahamu tangu alipo kua mwanafunzi wangu alikua ana behave good class hata nje ya darasa,sijawahi kusikia skendo ya aina yoyote inayo mhusu licha ya kua darasa lao lilikua na wanafunzi walio pinda mnoo.

Wakati huo anasoma sijawahi kumtongoza wala yeye hajawahi kuonyesha sign of love kwangu,tume fall in love baada ya kukutana uraiani.

Ushauri wadau...

Kwa tofauti ya umri huo, ukimuoa binti huyo, kama una akili chafu, baada ya miaka 10 utamuona anakuzidi umri angalau miaka 10. Hata kama ungekuwa unamzidi miaka 15 huyo bado anakufaa, maana baada ya miaka 15 mingine umri wenu utaonekana kama mlizaliwa siku moja!
 
Acha ubabaishaji wewe, km unataka kumuoa oa tu hakuna shida, umri sio tatizo. km humtaki mtoto wawatu mwambie usimpotezee muda buree.
 
Kama wewe umemzidi miaka hiyo siyo mbaya ila lazima ujiridhishe kuwa utaweza kumtimizia haja zake ipasavyo la sivyo utakuwa ni mtu wa mawazo
Watampigia tu. Huo ndio wasiwasi wangu mkubwa. Tofauti ya mIaka 10 na hizi sukari na pessure, ni lazima apigiwe tu.Na mimi nasema akimweka ndani, wampie tu.maana atakuwa amechoka.
 
Oa tu babu!maana si wanawake tunazeka mapema kuliko nyie!
 
Back
Top Bottom