Natamani kumpata kila msichana apitaye machoni mwangu? Why? Ushauri ...pls

njo nikufanyie maombi, kwa mungu hakuna linaloshindikana.


Husninyo, naomba uniombee kimya kimya, make naogopa hata tukionana unaweza kuwa unaomba mie nawaza mengine!! Anyway, that is the way I am, but najaribu kuzuia mazingira niliyomo, sijui kama nitafanikiwa. Indeed pray for me!!
 
Hapo huna la kufanya mjomba mana watoto w cku hiz ni wakali balaa unakuta katoto kadogoo ht miaka 15 hakajafikisha ila ana mkia!!! mh! ..... ucjibanie mjomba kila anayejitokeza we tia neno 2.

Mkuu. Ushauri huu, naona.... duh!!! Unawezaje kunisaidia zaidi ya hapa mkuu????????
 
Husninyo, naomba uniombee kimya kimya, make naogopa hata tukionana unaweza kuwa unaomba mie nawaza mengine!! Anyway, that is the way I am, but najaribu kuzuia mazingira niliyomo, sijui kama nitafanikiwa. Indeed pray for me!!

i will. Mmh nakuonea huruma. Kazi unayo.
Jitahidi uyashinde hayo majaribu.
Ngoja nianze leo kufunga na kuomba kwa ajili yako.
 
Naomba kuchukua fursa hii kuwashukuru nyooootee mnaoendelea kunipatia ushauri kuhusu hali yangu hii. Kwa namna ya pekee naomba mniruhusu PIA nimshukuru sana mwana JF mwenzefu, NewDawnTz kwa ushauri mzuri na wa kunijenga alionipatia huyo ndugu. Naahidi kuutumia kwa manufaa yangu sasa na hata baadaye.

Rai yangu kwa wanaJF ni kwanza, uwanja huu ni fursa kwetu. Ni muhimu kuutumia kujifunza. Ni mahali pa kubadilishana mawazo lakini pia ni sehemu ya kujifunza mambo mapya na kujiburudisha. Asilimia kubwa ya maneno tunayosikia sisi binadamu siyo mapya, lakini msisitizo wa jambo fulani hutofautiana always. Unaweza kuchukulia jambo poa tu kumbe mwenzio linamkera kweli hata kama yeye ndiye mtenda. Hivyo, ushauri wa kujenga ni jambo la msingi sana. Ndiye maana Biblia/Quran viliandikwa over 2000 years ago lakini bado watu wanatafsiri vitabu hivyo, na bado wengine hawajui namna ya kuvitumia. JF ni uwanja muhimu sana. Asanteni sana ndugu zangu na Mungu awabariki. Hata hivyo, nazidi kusubiria kuona ushauri wenu mwingine kuhusu hali yangu!!!
 
una jini mahaba wewe omba lishindweeeeeeeee


Sijui. Kama ni kuomba, kila Jumapili naenda Kanisani. Ningekuwa Dar ningeenda kwa Askofu Kakobe au Mzee wa Upako. Nifanyeje???
 

Twajaribu kujizuia, Lakini nyie ndio mwatutesaaaaaa!!!!, kijicho hicho mwatufinyia(Rose),vishawishi kila kukicha, mara nyele bandia, mkorogo na wowowo za kichina, hio yooote ni kutupotezea!!!! Atajizuia mpaka Liniiiiiiii!!!!!
 

Swafiii Mkuu, hio Nyekundu Mpya
 
mwanaume tumeumbwa kutamani, lakini tumia akili usipelekweshe na tamaa za mwili.
 
Bila shaka umesharudi. Ushauri wako ni muhimu ili nizaliwe upya. Unasemaje?

onana na watu wa psychologia, upate kanselling juu ya hiyo hali, pia rudi kwenye masuala ya dini kufuatana na unakoabudu. Nakutakia mabadiliko mema. MUNGU AKUSAIDIE.
 
Huu ni wimbo tu mungu akubadilishe.(Macho yangu yamejaa tamaa siachi msichana kupita mbele yangu, pamoja nakua nimeoa lakini sina hakika ndo udhaifu wangu, ni hurumie nisafishe ni badilishe mungu mwenye rehema) Mungu akuponye kutoka pepo la uzinzi.
 

Ufanyeje?
Fikiria kuwa huyo mkeo umpendae na ni mrembo anafanya kama ufanyavyo wewe...hiyo haitoshi kuwa sababu ya wewe kuirekebisha tabia yako? Au meshajichagulia "ajali kazini"?
Huogopi mungu,,sawa basi hata maradhi huyaogopi?
Majuto mjukuu, ndugu...Kapime kama bado uko salama huhitaji ushauri ,unajua nini cha kufanya...hata kama utakuwa umeambukizwa basi ujitahidi usiambukize wengine..kama unavyotamani kuendelea kuishi na wengine vile vile.
 

Ok. Nonda, thanks for your critical suggestions and opinions.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…