njo nikufanyie maombi, kwa mungu hakuna linaloshindikana.
Hapo huna la kufanya mjomba mana watoto w cku hiz ni wakali balaa unakuta katoto kadogoo ht miaka 15 hakajafikisha ila ana mkia!!! mh! ..... ucjibanie mjomba kila anayejitokeza we tia neno 2.
Husninyo, naomba uniombee kimya kimya, make naogopa hata tukionana unaweza kuwa unaomba mie nawaza mengine!! Anyway, that is the way I am, but najaribu kuzuia mazingira niliyomo, sijui kama nitafanikiwa. Indeed pray for me!!
tatizo lako ni la kawaida,inachotakiwa uoe au uishi na mwanamke ndani itakusaidia sana....
umri na hormones ndio tatizo....ni normal....
ndo maana mmepewa UTASHI
mbwa,paka ndo wanaparamiana tu tena kwa adabu ...mpk hamu imshike na si kudanda danda tu..IWEJE WE BNADAMU USHINDWE KUHIMILI HAMU /TAMAA ZAKO?
kuwa bnadamu kakangu
usijiendekeze....unakoelekea utamtaman mpk dadako...ehh ndo manake sa km hauna kiasi na wala kujizuia unashindwa wat do u thk?
Kwa mwanamume kamili kutamani vitu vizuri ni kawaida kabisa na ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya wanaume tunatamani sana na si ugonjwa. Na hiyo feeling ndio inayokufanya uendelee kuwa na mwenzio, vinginevyo hata yeye usingekuwa nae.... hawa wenzetu nao wanajua hilo!!! Ila kuna kuishinda nafsi na hicho ndio kinachokutofautisha na mnyama..... ila ukizidiwa mara moja moja kusafisha nyota sio mbaya mkubwa :heh:
Bila shaka umesharudi. Ushauri wako ni muhimu ili nizaliwe upya. Unasemaje?
Mkuu. Ushauri huu, naona.... duh!!! Unawezaje kunisaidia zaidi ya hapa mkuu????????
Ndugu zangu wapendwa... Habarini za jioni?!
Imekuwa ni kasumba yangu na pengine hata kwa wanaume wenzangu (ambao wako wazi kuzungumzia ukweli kuhusu wao) kwamba, kila akipita mwanamke/msichana mrembo (Asiye ndugu yangu) karibu au hata mbali kidogo, namgeuka na kutamani nimtongoze, na anikubalie. Natamani kumpata kila binti mrembo anayekatiza machoni mwangu. Wakati fulani nimetimiza azma hiyo, na nimefanikiwa na pengine najilazimisha kuacha kumfuatilia kwa lengo la kumtongoza. Mke ninaye na ni mrembo. Nina mpenda naye ananipenda tena sana. Binafsi, siifurahii tabia hii na ningefurahi kama ningepunguza kasi hii hasa ukizingatia hali halisi ya sasa kwani magonjwa ni mengi sana, hasa VVU/UKIMWI. Je, nifanyeje ili niepukane na tabia hii?? Je ni tatizo la kiafya? Tafadhali wanaJF nipeni ushauri unaonifaa kwa ajili ya mustakabali wa maisha yangu... Nashukuru!!
Ufanyeje?
Fikiria kuwa huyo mkeo umpendae na ni mrembo anafanya kama ufanyavyo wewe...hiyo haitoshi kuwa sababu ya wewe kuirekebisha tabia yako? Au meshajichagulia "ajali kazini"?
Huogopi mungu,,sawa basi hata maradhi huyaogopi?
Majuto mjukuu, ndugu...Kapime kama bado uko salama huhitaji ushauri ,unajua nini cha kufanya...hata kama utakuwa umeambukizwa basi ujitahidi usiambukize wengine..kama unavyotamani kuendelea kuishi na wengine vile vile.