Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,842
Basi tu nahitaji nimuone maana huwa nawaza sana Kuna mda nasema ndoa kweli unahitaji uvumilivu Kuna baadhi ya watu ukiwaangalia mitandaoni au hata mitaani unabaki unacheka ukiambiwa eti nae ana mke
Nilichogundua siku hizi hakuna kitu chepesi kupata kama mke na watoto. GENTAMYCINE ebu njoo PM uniambie umepanga majohe sehemu gani nije nione Familia yako
Nilichogundua siku hizi hakuna kitu chepesi kupata kama mke na watoto. GENTAMYCINE ebu njoo PM uniambie umepanga majohe sehemu gani nije nione Familia yako