Natamani kumjua mke wa Gentamycine nione uvumilivu alio nao

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
14,304
29,842
Basi tu nahitaji nimuone maana huwa nawaza sana Kuna mda nasema ndoa kweli unahitaji uvumilivu Kuna baadhi ya watu ukiwaangalia mitandaoni au hata mitaani unabaki unacheka ukiambiwa eti nae ana mke

Nilichogundua siku hizi hakuna kitu chepesi kupata kama mke na watoto. GENTAMYCINE ebu njoo PM uniambie umepanga majohe sehemu gani nije nione Familia yako
images%20(13)%20(18).jpg
 
Basi tu nahitaji nimuone maana huwa nawaza sana Kuna mda nasema ndoa kweli unahitaji uvumilivu Kuna baadhi ya watu ukiwaangalia mitandaoni au hata mitaani unabaki unacheka ukiambiwa eti nae ana mke

Nilichogundua siku hizi hakuna kitu chepesi kupata kama mke na watoto. GENTAMYCINE ebu njoo PM uniambie umepanga majohe sehemu gani nije nione Familia yako View attachment 2672982
Unamjua jemima mrembo
 
Basi tu nahitaji nimuone maana huwa nawaza sana Kuna mda nasema ndoa kweli unahitaji uvumilivu Kuna baadhi ya watu ukiwaangalia mitandaoni au hata mitaani unabaki unacheka ukiambiwa eti nae ana mke

Nilichogundua siku hizi hakuna kitu chepesi kupata kama mke na watoto. GENTAMYCINE ebu njoo PM uniambie umepanga majohe sehemu gani nije nione Familia yako View attachment 2672982
Na wewe umeowa Mwalimu?
 
Basi tu nahitaji nimuone maana huwa nawaza sana Kuna mda nasema ndoa kweli unahitaji uvumilivu Kuna baadhi ya watu ukiwaangalia mitandaoni au hata mitaani unabaki unacheka ukiambiwa eti nae ana mke

Nilichogundua siku hizi hakuna kitu chepesi kupata kama mke na watoto. GENTAMYCINE ebu njoo PM uniambie umepanga majohe sehemu gani nije nione Familia yako View attachment 2672982
Hii vita ngoja nitafute popcorn 🍿
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom