Natamani kujifunza Tally

Natamani kujifunza Tally

davisoni

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2014
Posts
422
Reaction score
446
Habari wakuu,
Mimi ni graduate wa nimesoma uhasibu(degree ua kwanza), wakati tunasoma kuna watu walikuja chuoni kutafuta wanaotaka kujifinza accounting packages,ila hawakufanikiwa kuendesha mafunzo hayo.kwa sasa kuna kazi nafanya inahusisha uhasibu na utunzaji wa stoo ya vitu.kutokana na changamoto mbali mbali za kikazi nalazimika kujifunza tally sytem(mabosi wameipenda hii).
.naomba kujua yafuatayo;
Je naweza kujifunza kwa siku ngapi?
Vipi gharama zake?
Asante
 
G
Habari wakuu,
Mimi ni graduate wa nimesoma uhasibu(degree ua kwanza), wakati tunasoma kuna watu walikuja chuoni kutafuta wanaotaka kujifinza accounting packages,ila hawakufanikiwa kuendesha mafunzo hayo.kwa sasa kuna kazi nafanya inahusisha uhasibu na utunzaji wa stoo ya vitu.kutokana na changamoto mbali mbali za kikazi nalazimika kujifunza tally sytem(mabosi wameipenda hii).
.naomba kujua yafuatayo;
Je naweza kujifunza kwa siku ngapi?
Vipi gharama zake?
Asante
Google power computer collage dar es salaam.AF nilitee mrejesho hapa umesaidika
 
Tally inafundishwa kwa level,course ina mambo mengi sana kiasi kwamba waweza soma hata mwaka mmoja Cha msingi wewe unataka kujifunza kwa sehemu gani.
Kuna baadhi wanafundusha Foundation course,intermediate na Advanced Tally.
Kama wewe ni Mhasibu na unatumia Tally ofisini kwenu jifunze,Mimi nilijifunza Tally but now so useless Maana ofisini kwetu hatutumia Tally na nimebaki na cheti tu.
 
Mkuu achana na Tally njoo nikufundishe VISION8 Accounting Software ndiyo habari ya mjini
 
Tally inafundishwa kwa level,course ina mambo mengi sana kiasi kwamba waweza soma hata mwaka mmoja Cha msingi wewe unataka kujifunza kwa sehemu gani.
Kuna baadhi wanafundusha Foundation course,intermediate na Advanced Tally.
Kama wewe ni Mhasibu na unatumia Tally ofisini kwenu jifunze,Mimi nilijifunza Tally but now so useless Maana ofisini kwetu hatutumia Tally na nimebaki na cheti tu.
Nipo na wahindi,wao ndio wanataka hiyo system itumike(wanaiamini + ni ya nchi yao).
 
Habari wakuu,
Mimi ni graduate wa nimesoma uhasibu(degree ua kwanza), wakati tunasoma kuna watu walikuja chuoni kutafuta wanaotaka kujifinza accounting packages,ila hawakufanikiwa kuendesha mafunzo hayo.kwa sasa kuna kazi nafanya inahusisha uhasibu na utunzaji wa stoo ya vitu.kutokana na changamoto mbali mbali za kikazi nalazimika kujifunza tally sytem(mabosi wameipenda hii).
.naomba kujua yafuatayo;
Je naweza kujifunza kwa siku ngapi?
Vipi gharama zake?
Asante
Nenda youtube utakuta video zake, bure kabisa.
 
Uko maeneo gani nikulink na mtaalamu wa hiyo softaware!
 
Only two weeks mkuu kujifunza hakuna jipya kiivo na uzoefu unao.
 
Wahindi ndio wenyewe hao na hiyo TALLY ERP9,na nimeona company nyingi za Kihindi wanatumia TALLY ERP9,Utube itakusaidia ila nenda darasani mkuu Maana ukikutana na mwalimu ni vizuri sana.
Weakness ya Utube...Gabbadge in Gabbadge out.
Nipo na wahindi,wao ndio wanataka hiyo system itumike(wanaiamini + ni ya nchi yao).
 
Back
Top Bottom