Natamani kujifunza kitu hasa kwenye computer.

Natamani kujifunza kitu hasa kwenye computer.

simba zee

Member
Joined
Apr 3, 2017
Posts
29
Reaction score
40
Mimi ni kijana muajiriwa
Natamani sana nijifunze program yoyote kwenye computer kupitia private chuo popote Dar pale tuu napokuwa na muda na fasi.
Ratiba yangu inaweza kuwa tofauti na wanafunzi wenzangu.
Bila kujali gharama yeyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unahangaika nini ingia youtube kuna tutorial za kutosha na utajifunza vitu vingi sanaaaa tena ukiwa umetuliza akili yako
 
Back
Top Bottom