Natamani kuiona U-23 ya kizazi hiki

Baba Kiki

JF-Expert Member
May 31, 2012
1,544
943
Miaka michache iliyopita tuliiona timu yetu ya U-23 ikionesha ushindani wa hali ya juu kiasi cha kuitoa kamasi Cameroun kabla ya kukwaa kisiki cha Nigeria lkn kwa shida sana. Timu hii ilikuwa ikiongozwa na Thomas Ulimwengu, Mbwana Samatta, Simon Msuva. Huko ndiko walikotoka akina Shomari Kapombe, Frank Domayo, n.k

Kila nikiangalia uwezo wa Ibrahim Ajib, Aishi Manula, Peter Manyika, Farid Mussa, Said Ndema, Geofrey Mwashiuya, Himid Mao, Mohamed Hussein "Tshabalala", Hija Ugando, Shiza Kichuya, Salim Mbonde, Atupele Green, Jeremiah Juma, Mudathir Yahya na wengine wengi nahisi tunaweza kutengeneza timu bora sana, huku pia tukiendelea kuwapa uzoefu wa mechi nyingi za kimataifa wachezaji wenye vipaji kama Mudatihir Yahaya wanaochezea Taifa Stars kuacha kucheza rafu zisizo na maana kama ile dhidi ya Algeria ugenini.

Malinzi na wenzako tafadhalini tupeni raha maana huu mseto ni zaidi ya burudani
 
Miaka michache iliyopita tuliiona timu yetu ya U-23 ikionesha ushindani wa hali ya juu kiasi cha kuitoa kamasi Cameroun kabla ya kukwaa kisiki cha Nigeria lkn kwa shida sana. Timu hii ilikuwa ikiongozwa na Thomas Ulimwengu, Mbwana Samatta, Simon Msuva. Huko ndiko walikotoka akina Shomari Kapombe, Frank Domayo, n.k

Kila nikiangalia uwezo wa Ibrahim Ajib, Aishi Manula, Peter Manyika, Farid Mussa, Said Ndema, Geofrey Mwashiuya, Himid Mao, Mohamed Hussein "Tshabalala", Hija Ugando, Shiza Kichuya, Salim Mbonde, Atupele Green, Jeremiah Juma, Mudathir Yahya na wengine wengi nahisi tunaweza kutengeneza timu bora sana, huku pia tukiendelea kuwapa uzoefu wa mechi nyingi za kimataifa wachezaji wenye vipaji kama Mudatihir Yahaya wanaochezea Taifa Stars kuacha kucheza rafu zisizo na maana kama ile dhidi ya Algeria ugenini.

Malinzi na wenzako tafadhalini tupeni raha maana huu mseto ni zaidi ya burudani
Ni kweli kabisa, Tuna watoto wazuri sana ambao wakizidi kupewa nafasi wanaweza kutufikisha mbali kisoka
 
Ajibu ana miaka27.
Kapombe28
Mbonde 30
Kichuya 26.
Mudathir25
Aishi manila 23.
Mwashiuya 26
Hamna u_23 hapo
 
Ajibu ana miaka27.
Kapombe28
Mbonde 30
Kichuya 26.
Mudathir25
Aishi manila 23.
Mwashiuya 26
Hamna u_23 hapo


Hii ni kwa mujibu wa nani?
Kichuya ni 20, Thobias Kifaru anapenda kumwita kinda kabisa la Mtibwa sukari, Mbonde 22, Mwashiuya 20, nk.

Sina hakika Kapombe amefikisha miaka mingapi ila akiwa Simba 2012/2013 alikuwa U-20!
 
Hii ni kwa mujibu wa nani?
Kichuya ni 20, Thobias Kifaru anapenda kumwita kinda kabisa la Mtibwa sukari, Mbonde 22, Mwashiuya 20, nk.

Sina hakika Kapombe amefikisha miaka mingapi ila akiwa Simba 2012/2013 alikuwa U-20!
 
Hii ni kwa mujibu wa nani?
Kichuya ni 20, Thobias Kifaru anapenda kumwita kinda kabisa la Mtibwa sukari, Mbonde 22, Mwashiuya 20, nk.

Sina hakika Kapombe amefikisha miaka mingapi ila akiwa Simba 2012/2013 alikuwa U-20!
Mwaka 2012 mbonde alitakiwa aache degree pale IFM,sasa hadi Leo angekuwa kamaliza!!
 
Miaka michache iliyopita tuliiona timu yetu ya U-23 ikionesha ushindani wa hali ya juu kiasi cha kuitoa kamasi Cameroun kabla ya kukwaa kisiki cha Nigeria lkn kwa shida sana. Timu hii ilikuwa ikiongozwa na Thomas Ulimwengu, Mbwana Samatta, Simon Msuva. Huko ndiko walikotoka akina Shomari Kapombe, Frank Domayo, n.k

Kila nikiangalia uwezo wa Ibrahim Ajib, Aishi Manula, Peter Manyika, Farid Mussa, Said Ndema, Geofrey Mwashiuya, Himid Mao, Mohamed Hussein "Tshabalala", Hija Ugando, Shiza Kichuya, Salim Mbonde, Atupele Green, Jeremiah Juma, Mudathir Yahya na wengine wengi nahisi tunaweza kutengeneza timu bora sana, huku pia tukiendelea kuwapa uzoefu wa mechi nyingi za kimataifa wachezaji wenye vipaji kama Mudatihir Yahaya wanaochezea Taifa Stars kuacha kucheza rafu zisizo na maana kama ile dhidi ya Algeria ugenini.

Malinzi na wenzako tafadhalini tupeni raha maana huu mseto ni zaidi ya burudani

Wazo lako zuri isipokuwa hao wachezaji uliowataja ndio basi tena tumeshawachelewa maana muda si mrefu watakua vijeba.

Jambo la msingi tuendelee kuwakumbusha TFF isifanye utani kwenye ile timu ya taifa ya U-17 ambayo inaandaliwa kwa yale mashindano ya Afrika na Tanzania akiwa mwenyeji.

Si hilo tu pia TFF ipitishe sheria au kanuni ya kuzilazimisha klabu za ligi kuu na ligi-1 kuwa na timu za vijana ikibidi U-12, 17 kama walivyo wenzetu waliofanikiwa. Hii inaweza kutusaidia.
 
Back
Top Bottom