Natamani kuhudhuria kuapishwa Buhari Abuja

Natamani kuhudhuria kuapishwa Buhari Abuja

Rais Uhuru Kenyata kaahirisha kwenda baada ya wananchi wake kumlalamikia kuwa ni matumizi mabaya ya fedha kusafiri safiri. Among the presidents that listens
 
Huyo tena!? Unauliza majibu Mkuu! Na hivi kabakisha miezi michache ya kuongeza deni la Taifa. Kiguu na njia kama kazi labda iwe walimsahau kumualika.

Wa kwetu vipi? Usikute kashafika
 
Tuliza bol siku si nyingi utamuona Dr. Slaa akiapishwa wakati makamanda tumemzunguka. Na baadaye waziri mkuu Tundu Lissu
 
Huyu jamaa toka ashinde naona BOKOLEWA HARAM wameanza kutetemeka na kufifia wenye akili tunajiuliza vp hali hii itokee sasa hivi? Au kuna namna?
 
Huyo tena!? Unauliza majibu Mkuu! Na hivi kabakisha miezi michache ya kuongeza deni la Taifa. Kiguu na njia kama kazi labda iwe walimsahau kumualika.

hahahaha yani nimcheka sanaa :becky:
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Rais Uhuru Kenyata kaahirisha kwenda baada ya wananchi wake kumlalamikia kuwa ni matumizi mabaya ya fedha kusafiri safiri. Among the presidents that listens

Huyo alikuwa anamuunga mkono Jonathan
 
Huyo alikuwa anamuunga mkono Jonathan

Inawezekana ikawa ni sababu unayoijua wewe ila wakenya wenyewe wanasema vinginevyo, nanukuu ..."
[h=2]Uhuru Pulls Out of Nigeria Trip after Public Furor over Bloated Delegation[/h] " source Inooro FM
 
Tuliza bol siku si nyingi utamuona Dr. Slaa akiapishwa wakati makamanda tumemzunguka. Na baadaye waziri mkuu Tundu Lissu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom