Natamani kufuga nyoka mwenzenu!

Natamani kufuga nyoka mwenzenu!

funduku

Senior Member
Joined
May 2, 2013
Posts
131
Reaction score
36
Jamani wana jf naomba ushauri, sijui kama ninamapungufu au vipi... maana katika siku za hivi karibuni nimeingiwa na hali ya kutamani kufuga nyoka hapa nyumbani kwangu, sasa sijui kama ni tatizo au vipi mwenzenu mpaka napata hisia za kuunga urafiki na wadudu hawa hatari.
 
funduku, wadudu na wanyama wote wanaofugwa jamani hujawapenda wala kuingia kwenye hayo matamanio ya kufuga mpaka uje kwenye nyoka? Una uzuri gani mdudu yule ambaye anatumia tumbo kutembea? Au una maana tofauti unaposema "nyoka"?!
Kila la kheri, ila hakikisha unawatoa meno, maana siku ukikosea wakakugonga ndiyo mwisho wa maisha yako.
 
Jamani wana jf naomba ushauri, sijui kama ninamapungufu au vipi... maana katika siku za hivi karibuni nimeingiwa na hali ya kutamani kufuga nyoka hapa nyumbani kwangu, sasa sijui kama ni tatizo au vipi mwenzenu mpaka napata hisia za kuunga urafiki na wadudu hawa hatari.
Pole pole unaelekea kwenye kutaka kufuga majini....
 
Jamani wana jf naomba ushauri, sijui kama ninamapungufu au vipi... maana katika siku za hivi karibuni nimeingiwa na hali ya kutamani kufuga nyoka hapa nyumbani kwangu, sasa sijui kama ni tatizo au vipi mwenzenu mpaka napata hisia za kuunga urafiki na wadudu hawa hatari.

Wala usifuge nyoka,subiri ntakupatia mke wangu ufuge
 
Jamani wana jf naomba ushauri, sijui kama ninamapungufu au vipi... maana katika siku za hivi karibuni nimeingiwa na hali ya kutamani kufuga nyoka hapa nyumbani kwangu, sasa sijui kama ni tatizo au vipi mwenzenu mpaka napata hisia za kuunga urafiki na wadudu hawa hatari.

Nimekuelewa, ni yule nyoka mwenye JICHO moja, aaagh fuga tu ..............!:love:
 
Ufuge nyoka ili iweje!? Mbona kuna wanyama wengi tu wanastahili kufugwa!? Hutaki kuwafuga hao? Cheza mbali na nyoka vinginevyo watakuja kukudhuru wewe mwenyewe au wapendwa wako.
 
Jamani wana jf naomba ushauri, sijui kama ninamapungufu au vipi... maana katika siku za hivi karibuni nimeingiwa na hali ya kutamani kufuga nyoka hapa nyumbani kwangu, sasa sijui kama ni tatizo au vipi mwenzenu mpaka napata hisia za kuunga urafiki na wadudu hawa hatari.
Aahaa, we fuga tu ila watakapo kujeruhi siku moja hapo ndio utaju kama una matatizo au vipi!
 
Jamani wana jf naomba ushauri, sijui kama ninamapungufu au vipi... maana katika siku za hivi karibuni nimeingiwa na hali ya kutamani kufuga nyoka hapa nyumbani kwangu, sasa sijui kama ni tatizo au vipi mwenzenu mpaka napata hisia za kuunga urafiki na wadudu hawa hatari.

Unawapenda kivipi? Maana unanitisha ukilinganisha na jukwaa uloweka mh!
 
Nimekuelewa, ni yule nyoka mwenye JICHO moja, aaagh fuga tu ..............!:love:

Jamani, sina maana ingine namaanisha nyoka kama nyoka(mdudu) wala si vinginevyo!.
 
Unawapenda??? Sijui lkn kwa uoni wangu naona km utakua na matatizo. Raha ya kufuga mnyama awe na faida, akupe kampani n.k. sasa apo awo nyoka wana maana gani?
 
Jamani wana jf naomba ushauri, sijui kama ninamapungufu au vipi... maana katika siku za hivi karibuni nimeingiwa na hali ya kutamani kufuga nyoka hapa nyumbani kwangu, sasa sijui kama ni tatizo au vipi mwenzenu mpaka napata hisia za kuunga urafiki na wadudu hawa hatari.

ooooohoooooo!!!!!ulozi ndo unakoanzia huko
 
nyoka aina gani unapenda kufuga, black mamba au koboko maana hao watakupeleka kaburini mapema sana
 
Jamani wana jf naomba ushauri, sijui kama ninamapungufu au vipi... maana katika siku za hivi karibuni nimeingiwa na hali ya kutamani kufuga nyoka hapa nyumbani kwangu, sasa sijui kama ni tatizo au vipi mwenzenu mpaka napata hisia za kuunga urafiki na wadudu hawa hatari.

Niwazo zuri sana endelea na mpango wako wa kufuga nyoka na kama huna mtaji wa kununulia hao nyoka njoo haraka unikope faster nitakupatia
 
Ufuge nyoka ili iweje!? Mbona kuna wanyama wengi tu wanastahili kufugwa!? Hutaki kuwafuga hao? Cheza mbali na nyoka vinginevyo watakuja kukudhuru wewe mwenyewe au wapendwa wako.

Maybe not!

a.baa-This-kid-have-very-dangerous.jpg
 
Nenda Shinyanga au Tabora ukawaone wataalamu watakusaidia. Wengine wanafuga mpaka fisi wa maonyesho.
 
Back
Top Bottom