Shantel
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 2,018
- 1,129
- Thread starter
- #81
Haya mambo bwana BB sijui kaifokonyoa wapi hii, mambo yamebadilika siku hizi nilifunguka sana baada ya maushauriUnamwambia tu mie hii routine katika kunanihii imenichosha, nataka mavitu mapya ambayo hujawahi kunifanyia ili nipagawe zaidi na kama kuna vitu specific ambavyo ungependa avifanye basi unavipanga kimoja baada ya kingine.