Shantel
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 2,018
- 1,129
Hi wapendwa wangu za jumapili, nimekuja leo naomba ushauri kwa hili linalonisibu, nina partner wangu tuko nae muda kidogo, nampenda na yeye ananipenda na kunijali sana, kuna hali imejitokeza kwangu nachoka na routine ileile anapofanya mapenzi na mimi. yaani kwa mfano kila tukianza kufanya mapenzi anafanya vitu vilevile kila siku pamoja yakuwa yuko fiti na ananipagawisha vilivyo natamani aje kivingine
Nimejitahidi kama mimi mwenyewe kumfanyia mambo mengine ila ikiwa zamu yake tu utamwona na routine yake ileile hii inanifanya nipunguze hamu ya tendo, je nitawezaje kumwambia abadilike kama mnavyojua wanawake tumeumbwa na aibu? hawezi nifikiria vibaya kweli! naomba niwakilishe, na samahani kwa anaekwazika mie nahitaji ushauri jamani
Nimejitahidi kama mimi mwenyewe kumfanyia mambo mengine ila ikiwa zamu yake tu utamwona na routine yake ileile hii inanifanya nipunguze hamu ya tendo, je nitawezaje kumwambia abadilike kama mnavyojua wanawake tumeumbwa na aibu? hawezi nifikiria vibaya kweli! naomba niwakilishe, na samahani kwa anaekwazika mie nahitaji ushauri jamani