kitambaa Cha sofa
Member
- May 23, 2023
- 80
- 152
Habari
Mwenzenu niliumwa Sana nilienda hospital hawaoni ugonjwa
Hivi juzi Kati nikageukia tiba asilia
Ni huko ndiyo nimeambiwa kuwa ugonjwa wangu hauhitaji dawa Ila natakiwa niwe mganga ndio nitapona
Naomba mnishauri jamani nifanyeje Mimi sitaki kuwa mganga
Au kama kuna vitu ambavyo nikitumia hivi vimahoka vitakimbia naomba mnielekeze
Mwenzenu niliumwa Sana nilienda hospital hawaoni ugonjwa
Hivi juzi Kati nikageukia tiba asilia
Ni huko ndiyo nimeambiwa kuwa ugonjwa wangu hauhitaji dawa Ila natakiwa niwe mganga ndio nitapona
Naomba mnishauri jamani nifanyeje Mimi sitaki kuwa mganga
Au kama kuna vitu ambavyo nikitumia hivi vimahoka vitakimbia naomba mnielekeze