Natakiwa kuchagua mawili, nichague yapi?

Husninyo

JF-Expert Member
Oct 24, 2010
23,723
9,193
Habari wasomi wote wa jf.
Nachukua kozi ya uhasibu. Natakiwa kuchagua masomo mawili kati ya haya.

1.organizational behaviour
2.money and capital markets.
3. Public sector accounting and reporting.

Mnanishaurije?
Natanguliza shukrani.
 
Kama unachukua a/ccountancy.bac chagua org behavior§capital m§money mark.inakupa uzoefu wa ziada kuliko kuzama kwanye vitu vinavyo relate kama co subjects kama acc
 
Back
Top Bottom