Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Itakuwa aibu ya mwaka.
Hajua kujibu hoja ngumu atachomekea upupu wake, atatukana bure.
 
Nope!

Wala sijabadili.

Principles! Principles! Principles!
Na hapo ndio tatizo la watu wetu lilipo.

Hawawezi, kwa mfano, kutenganisha mtu na misingi/wazo.

Wanapata tabu sana wakiona unakosoa mtu unayekubaliana nae.

Katika fikra zao ukikubaliana na mtu unakubaliana nae hook, line and sinker.

Nope, sie wengine ni watu huru, kifikra na kivinginevyo.
 
Duh!

Mshikaji umetisha.

Maana una mawazo sawa na yangu kwa kiasi kikubwa sana!!

Halafu unajua nini, ndo maana ndani ya vyama vyetu vya kisiasa tumeona watu wakifukuzwa uanachama kutokana na kutofautiana kidogo tu kifikra.

Hakuna room for disagreement.

Tuliona akina Zitto na Kitila walivyofukuzwa CHADEMA.

Juliana Shonza na Mtela Mwampamba.

Tumeona Membe alivyofukuzwa CCM.

Udikteta wa kifikra huo.
 
Very insightful!

Shukrani.

Sasa mimi niliposema nataka Magufuli ashindwe kwenye hilo, eti kuna watu mpaka leo hii hawanielewi!

Sisi sijui tuna laana gani tu??!!
 
Nope!

Wala sijabadili.

Principles! Principles! Principles!
Kama aliyeyaandika haya ya kwenye huu uzi ndiye yule yule aliyeandika ule uzi wa kumwombea fulani,basi "principles" imepata maana mpya kama ilivyo "maendeleo hayana vyama" na "msemakweli ni mpenzi wa mungu".
 
Kama aliyeyaandika haya ya kwenye huu uzi ndiye yule yule aliyeandika ule uzi wa kumwombea fulani,basi "principles" imepata maana mpya kama ilivyo "maendeleo hayana vyama" na "msemakweli ni mpenzi wa mungu".
Huh? Weka vielelezo ili ueleweke!
 
Kwani sijawahi kumpinga?
Kwa nadra sana........

Wewe ushabiki wako kwa Jiwe huwa wakati mwingine umepitiliza.........

Wakati mwingine huwa unajifanya "kipofu" kwa yale ambayo sisi wengine tunayaona makosa ya wazi wazi ambayo huwa anayafanya Jiwe!
 
Kwa nadra sana........

Wewe ushabiki wako kwa Jiwe huwa wakati mwingine umepitiliza.........

Wakati mwingine huwa unajifanya "kipofu" kwa yale ambayo sisi wengine tunayaona makosa ya wazi wazi ambayo huwa anayafanya Jiwe!
Unaweza nitajia mada zangu tano ninazompinga Magufuli??
 
Kwa nadra sana........

Wewe ushabiki wako kwa Jiwe huwa wakati mwingine umepitiliza.........

Wakati mwingine huwa unajifanya "kipofu" kwa yale ambayo sisi wengine tunayaona makosa ya wazi wazi ambayo huwa anayafanya Jiwe!
Naona umekula kona kwa sababu huwezi nitajia.

Na huwezi nitajia kwa sababu uliandika kwa hisia kusadiki tu.

Huna facts.

Checkmated!
 
wewe na huyo unamyemjibu ni mtu mmoja, acha kutuzuga...tatizo lako wewe linalokusumbua ni JAMUKAYA!.
 
Ashindwe.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…