Kizazi jeuri
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 297
- 64
Maeneo ya Ukonga Mombasa banana majumba Sita kwa mwezi 100,000 mpaka 150,000 kuwe na geti packing ya gari, yaani kiufupi furniture nikiziweka Kama Muv za Nigeria vile..plz ni pm Kama unayo..
Zipo nyingi saaana tabu Kama unataka Sinza kinondon ndio shida wewe Ukonga na foreni lake loooote ukapange 200,000 kweli? Si bora upange Sinza 250,000 Mafuta kidogo town,..
Zipo nyingi saaana tabu Kama unataka Sinza kinondon ndio shida wewe Ukonga na foreni lake loooote ukapange 200,000 kweli? Si bora upange Sinza 250,000 Mafuta kidogo town,..
Maeneo ya Ukonga Mombasa banana majumba Sita kwa mwezi 100,000 mpaka 150,000 kuwe na geti packing ya gari, yaani kiufupi furniture nikiziweka Kama Muv za Nigeria vile..plz ni pm Kama unayo..
Ndio maana nataka maeneo ya uko., kuna Kitu kinamalizia finishing kwa Diwani moshi bar mbele inabidi niwe jirani na ili nifanye mambo ya ajabu zaidi.......tupo pamoja mkuuuuuuuu
Hizi akili za Bavicha kudhani kila mtu anafanya kazi town. Kwahiyo askari wa magereza Ukonga naye akapange Sinza ili iwe rahisi kufika town lakini kazini kwake Ukonga!