nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 5,736
- 6,972
Dawa za kinga na chanjo nazijua, chakula ni uhakika kwakua kuna mashine ya kukoboa na kusaga unga wa mahindi. Eneo lipo la kutosha na maji ya kumwaga.
Mtaji ni kuku 15 niliowakuta hapahapa kwa mama. Hakika nataka niwe milionea kwa ufugaji wa kuku wa kienyeji. Hakika huu mradi nauheshimu maana mpaka sasa nimefanikiwa kuzalisha vifaranga 70 na kuna kuku wanataga na wengine wameatamia.
Hakika najuta kupoteza muda dar miaka yote hiyo. Japo siwezi sema nilipoteza muda kutokana na elimu niliyoipata isiyo rasmi
Mtaji ni kuku 15 niliowakuta hapahapa kwa mama. Hakika nataka niwe milionea kwa ufugaji wa kuku wa kienyeji. Hakika huu mradi nauheshimu maana mpaka sasa nimefanikiwa kuzalisha vifaranga 70 na kuna kuku wanataga na wengine wameatamia.
Hakika najuta kupoteza muda dar miaka yote hiyo. Japo siwezi sema nilipoteza muda kutokana na elimu niliyoipata isiyo rasmi