Nataka nisome udaktari

Nataka nisome udaktari

meba

Member
Joined
May 5, 2012
Posts
99
Reaction score
9
Mimi ni mwalimu, nimesoma b Phil. Ed. Advance nilisoma HGE, lakini o level nilisoma sayansi je, nikitaka kusoma udaktari nitaanzia wapi? Maana uwalimu umenichosha malipo ni madogo pia hakuna marupurupu.. NAOMBENI USHAURI MAANA PCB NILICHAGULIWA WAKATI HUO LAKINI NIKABADILISHA NIKASOMA HGE.
 
mh!! ngoja waje wanaojua hili,,ila udaktar safari yake ndefu mkuu
 
ingia nacte.go.tz kisha fanya application chagua clinical medicine vyyo unavyovipenda ..ila hakikisha unaomba ruhusa ya kujiendeleza usome uku ukiwa unalipwa usije ukaitwa mtumishi hewa
 
Una umri gani? Na je una uwezo wa kujisomesha kwa sasa na unaposema kua wewe ni mwalimu maana yake umemaliza degree na kuajiriwa?
 
Hata ukiwa daktari still you will work for money. Watu wengi wanachanga kati ya jinsi ya kutengeneza pesa na jinsi ya kupata pesa.

Kulinga na natatzo lako unahitaji kupata elimu inayohusiana na maswala ya kifedha(pesa) na sio udaktani.
Mfumo Wa elimu Wa nchi umekuwa ukiza lisha product nyingi ya maskini Wa maarifa na maskini Wa uchumi
 
Back
Top Bottom