Nataka nimpige marufuku asirudi tena

Nataka nimpige marufuku asirudi tena

Singasinga

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2011
Posts
2,741
Reaction score
3,315
Habari wakuu

Kuna binti alikuja home miezi kadhaa nyuma baada ya kumaliza O level kwa ajili ya maandalizi ya Advance kwani alifaulu

Sasa baada ya kuzoeana alianza kuonesha interest tofaut tofaut za kimapenzi kwangu ila mimi kiukweli nlimuignore na sikufanya nae chochote zaidi ya kissing tu usiku mmoja aliponivamia gheto kwangu bila kutarajia

Sasa ijumaa iliyopita nlikua natoka center mida ya saa tano usiku nlipokaribia karibu na hom nkaona anaongozana na jamaa hadi kwenye chumba tulichompatia kwa ajili ya kukaa maana kinajitegemea

So nlichofanya nlienda hadi dirishani kwake nikagonga nkamuita ili kuwaaribia mood then nkaondoka then baada ya dk kadhaa akantxt eti"Kuna mgeni" nkamjibu Nimeona kila kitu na naomba umuondoe haraka sana.

Baada ya mda nkarudi kuhakikisha nkawaona wanaagana na akantxt kwamba eti mara yake ya kwanza kumleta na hii nimesababisha mimi maana namuignore.

So wadau mpaka leo sijamwambia mwanafamilia yeyote kuhusu hili swala ila nataka nimwambie huyu binti kuwa siku atapoondoka kwenda shule asiwahi kurudi tena hapa nimeshajaribu kumtxt aje nimwambie physical ila ananikwepa sana

Je ntakua sawa nikimpiga biti asikanyage tena hapa hom?
 
hauna lolote
Kwanza wewe utakuwa ni domo zege
Kimsingi, hapo kinacho kudrive ni wivu tu
Narudia tena NI WIVU TUUUUU
Kama ulikuwa na nia ya kumuondoa sawa. lakini kwasababu hii unayoleta hapa, nakuhakikishia, sikiliza moyo wako, ni wivu tuu
 
Tatizo hapo ni wewe mkuu huyo dem alikuwa na genyeee wewe umemwacha sasa na yeye hataki kujiunga chaputa ndio maana katafuta plan B wewe mwache tu
Kweli tatizo ni mimi ndo maana mpaka sasa sijamwambia yeyote

ila je ni sawa nikimuacha aendelee na huo mtindo maana bado yupo na inaonekana ndo kashanogewa
 
hauna lolote
Kwanza wewe utakuwa ni domo zege
Kimsingi, hapo kinacho kudrive ni wivu tu
Narudia tena NI WIVU TUUUUU
Kama ulikuwa na nia ya kumuondoa sawa. lakini kwasababu hii unayoleta hapa, nakuhakikishia, sikiliza moyo wako, ni wivu tuu
Asa mbona hutoi ushauri
 
1151029
1562828644297.png
 
Back
Top Bottom