hometown
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 939
- 1,299
Inapatikanaje huduma zao?Transcelestial
Inapatikanaje huduma zao?Transcelestial
Hii kitu nami nimeikuta mombasa karibia nyumba zote hata wanaoonekana na uwezo mdogo wanatumia wifiSawa mkuu ila usisahau pia na uswazi kabla hujafika maeneo mengi, jangwani, Buguruni/Vingunguti, Kisiwani, Tandale, Baadhi ya Kinondoni etc.
Idea Yangu mimi ambayo Niliona Kenya ni Kufunga system za Wifi kusuply mitaa badala ya Fiber, unakuta wifi za 1mbps tu na bei ndogo 10,000 ama 15,000 watu wanaangalia youtube 480p maisha Yanaenda.
Hukumcheck yule jamaa.Mbezi beach inakuja..na kwa wa nje ya dar basi kama unaweza ku afford 150,000 kwa mwezi unlimited internet 10mbps ..nicheki.. ni wireless hiyo
Bado haijafika Tanzania kama sio Africa.Inapatikanaje huduma zao?
Sanctus MtsimbeInapatikanaje huduma zao?
Msogee hata Ilala, Manzese & Mabibo sasa. Mnaacha hela nyingi huko.Karibuni sana niwahudumie .. nipo zuku fiber pia muhimu uwe kariakoo,city center,msasani,mikocheni,masaki,oysterbay,upanga.na kinondoni ada estate... katibu sana kama una swali njoo pm..
mkuu ulotoa post karibu nkuhudumie hutajutia is the best
Haya mambo kama hujaenda shule huwezi kuyaelewa. Mtu wa kawaida hawezi kuelewa tofauti ya bit na byte.Internet haipimwi kwa Bytes per Second mkuu (mBps)
Internet speed always tunapima Kwa Bits per Second (mbps).