Nataka nifanye utafiti/research nianzie wapi?

Nataka nifanye utafiti/research nianzie wapi?

Oxpower

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,179
Reaction score
3,104
Mpaka tumekutana kwenye thread hii natumai wengi wetu ni wazima na wale wenye udhaifu kiasi basi Mungu atufanyie wepesi .

Kabla ya yote ningependa kutoa maelezo binafsi ili kupunguza maswali huko mbele

Mimi ni mwalimu wa sekondara mkoan Lindi na nimekua mwalimu wa nidhamu na malezi tangu nlipoanza kazi, hivyo nmekua na ukaribu kwakiasi Fulani na wanafunzi pamoja na wazazi wao .

Tokea niwe mwalimu mlezi, nmekua nikikutana na changamoto mbali mbali za wanafunzi na mazingira yao, kiukweli kuna baadhi ya changamoto sikuwah kufikiria Kama kweli zipo japo huku inaonekana ni kawaida .

Sasa kutokana na hizo changamoto nmejikuta natamani kujua zaidi na zaidi na hapo badae nipate njia bora ya kuwasaidia

Najua nguvu yangu ni ndogo hivyo nmewaza kufanya tafiti ili niiweke kwenye maandishi na wakipatikana watakao weza kuitumia na waitumie ,kwa kuwa nataka nakala moja niipeleke halmashauri kwa matumizi ya wilaya na nyingine nibaki nayo Mimi kwajili ya matumizi yangu binafsi na kitaaluma zaidi

Na utafiti wangu nataka ujikite kujua sababu inayowafanya
1:wafanye vibaya hasa wakifika kidato cha pili
2:wapate mimba
3:wawe na msukumo mdogo wa kusoma na hii hasa kwa watoto wa kike kwa kuwa watoto wakike wanapoanza kidato cha kwanza huwa wapo vizuri Sana, lakini punde wafikapo kidato cha pili wanaanza kufanya vibaya na wengine kuacha shule na hatimaye wengine hupata ujauzito

Nataka tafiti yangu iwe bora na iweze kutumiwa na mtu yeyote ndani na nje ya nchi
SASA CHANGAMOTO ZANGU NI HIZI
1:nianzie wapi
2:je kuna ulazima wa kuwa na supervisor? Na Kama ni lazima ntampataje huku wilayani

4:je kuna haja yakuandaa research proposal? Au naweza anza tu maana chapter one ina cover hiyo
4:literature riview naweza tumia vitabu vya mtandaoni na ikawa sawa tu
5😛ia naombeni msaada wa namna ya kudesin research title nzuri
 
Dah hiyo ni project kabisa na inahitaji propasal nakumbuka proposal inabidi iwe na
1 .Tittle
2.Introduction
3.Literature review
4.Objectives
5.Methodology
6.Data collection
7.Discussion
8.Recommendation
9.Conclusion
10.References

Ndio nakumbuka hiyo format waweza tumia pia wengine wenye uzoefu waweza kosoa hapo juu.
 
Dah hiyo ni project kabisa na inahitaji propasal nakumbuka proposal inabidi iwe na
1 .Tittle
2.Introduction
3.Literature review
4.Objectives
5.Methodology
6.Data collection
7.Discussion
8.Recommendation
9.Conclusion
10.References

Ndio nakumbuka hiyo format waweza tumia pia wengine wenye uzoefu waweza kosoa hapo juu.
Nashukru umemjibu vyema kabisa..!

Shida yangu huyu mwalimu alipata wapi hiyo elimu ya ualimu ambaye hawezi ata njia rahisi za kufanya research..!

Anyway utafiti lazima uwe na hypothesis..! Hii itakusaidia kupata area of concentration.
 
Kabla ya research lazima ujue tatizo unalotaka kulifanyia research kisha andaa title isiyosidi maneno 18 na hy title yako lazima iwe researchable,
Na mitandaoni lazima upite maana hakuna research mpya ndy maana ikaitwa research it means unarudia kilichowahi kufanyika sehemu flani sio lazima iwe Tanzania bila kusoma research zingine zinazoendana na research yako huwezi kupata litreture review, kwa hy andaa kwanza title kisha nenda google andika title yako alafu Mbele yake weka neno PDF itakuleta research zingine zinazofanana na hy yako, jinsi ya kuandika title pia ingia google andika how to write good research title PDF itakuletea vitabu mbali mbali na majarida utasoma utaandaa title yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah hiyo ni project kabisa na inahitaji propasal nakumbuka proposal inabidi iwe na
1 .Tittle
2.Introduction
3.Literature review
4.Objectives
5.Methodology
6.Data collection
7.Discussion
8.Recommendation
9.Conclusion
10.References

Ndio nakumbuka hiyo format waweza tumia pia wengine wenye uzoefu waweza kosoa hapo juu.
Asante Sana kwa ushauri Mkuu
 
Nashukru umemjibu vyema kabisa..!

Shida yangu huyu mwalimu alipata wapi hiyo elimu ya ualimu ambaye hawezi ata njia rahisi za kufanya research..!

Anyway utafiti lazima uwe na hypothesis..! Hii itakusaidia kupata area of concentration.
Asante kwa ushauri, lakini pia jaribu kuelewa maana ya mtu anayehitaji ushauri
 
Kabla ya research lazima ujue tatizo unalotaka kulifanyia research kisha andaa title isiyosidi maneno 18 na hy title yako lazima iwe researchable,
Na mitandaoni lazima upite maana hakuna research mpya ndy maana ikaitwa research it means unarudia kilichowahi kufanyika sehemu flani sio lazima iwe Tanzania bila kusoma research zingine zinazoendana na research yako huwezi kupata litreture review, kwa hy andaa kwanza title kisha nenda google andika title yako alafu Mbele yake weka neno PDF itakuleta research zingine zinazofanana na hy yako, jinsi ya kuandika title pia ingia google andika how to write good research title PDF itakuletea vitabu mbali mbali na majarida utasoma utaandaa title yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Sana kiongozi
 
Dah hiyo ni project kabisa na inahitaji propasal nakumbuka proposal inabidi iwe na
1 .Tittle
2.Introduction
3.Literature review
4.Objectives
5.Methodology
6.Data collection
7.Discussion
8.Recommendation
9.Conclusion
10.References

Ndio nakumbuka hiyo format waweza tumia pia wengine wenye uzoefu waweza kosoa hapo juu.

najaribu kurekebisha huo mlolongo kama ifuatavyo. namba 4 ni sehemu ya namba 2, 6 ni sehemu ya 5, badala ya hiyo kwenye namba 6 isomeke results au data analysis, namba 8 ni sehemu ya namba 7.

Kwa kifupi mpangilio wa 7, 8 na 9 inategemea na unaandika report au article.
 
Mpaka tumekutana kwenye thread hii natumai wengi wetu ni wazima na wale wenye udhaifu kiasi basi Mungu atufanyie wepesi .

Kabla ya yote ningependa kutoa maelezo binafsi ili kupunguza maswali huko mbele

Mimi ni mwalimu wa sekondara mkoan Lindi na nimekua mwalimu wa nidhamu na malezi tangu nlipoanza kazi, hivyo nmekua na ukaribu kwakiasi Fulani na wanafunzi pamoja na wazazi wao .

Tokea niwe mwalimu mlezi, nmekua nikikutana na changamoto mbali mbali za wanafunzi na mazingira yao, kiukweli kuna baadhi ya changamoto sikuwah kufikiria Kama kweli zipo japo huku inaonekana ni kawaida .

Sasa kutokana na hizo changamoto nmejikuta natamani kujua zaidi na zaidi na hapo badae nipate njia bora ya kuwasaidia

Najua nguvu yangu ni ndogo hivyo nmewaza kufanya tafiti ili niiweke kwenye maandishi na wakipatikana watakao weza kuitumia na waitumie ,kwa kuwa nataka nakala moja niipeleke halmashauri kwa matumizi ya wilaya na nyingine nibaki nayo Mimi kwajili ya matumizi yangu binafsi na kitaaluma zaidi

Na utafiti wangu nataka ujikite kujua sababu inayowafanya
1:wafanye vibaya hasa wakifika kidato cha pili
2:wapate mimba
3:wawe na msukumo mdogo wa kusoma na hii hasa kwa watoto wa kike kwa kuwa watoto wakike wanapoanza kidato cha kwanza huwa wapo vizuri Sana, lakini punde wafikapo kidato cha pili wanaanza kufanya vibaya na wengine kuacha shule na hatimaye wengine hupata ujauzito

Nataka tafiti yangu iwe bora na iweze kutumiwa na mtu yeyote ndani na nje ya nchi
SASA CHANGAMOTO ZANGU NI HIZI
1:nianzie wapi
2:je kuna ulazima wa kuwa na supervisor? Na Kama ni lazima ntampataje huku wilayani

4:je kuna haja yakuandaa research proposal? Au naweza anza tu maana chapter one ina cover hiyo
4:literature riview naweza tumia vitabu vya mtandaoni na ikawa sawa tu
5😛ia naombeni msaada wa namna ya kudesin research title nzuri
Soma sana ahsee Mwalimu!! Tafuta past researches kama 30 hivi zinazoendana na hio idea yako...then from that una-establish gap....!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukru umemjibu vyema kabisa..!

Shida yangu huyu mwalimu alipata wapi hiyo elimu ya ualimu ambaye hawezi ata njia rahisi za kufanya research..!

Anyway utafiti lazima uwe na hypothesis..! Hii itakusaidia kupata area of concentration.

hypothesis sio lazima kwenye utafiti.
 
Sawa ila pia waweza tafuta mtu wa Masters, Dr, Prof. etc wakakusaidia kuweka andiko lako vizuri kwa sababu research yeyote inahitaji fund sources.
Asante Sana Mkuu, ntajitahidi kutafuta hata mmoja anisaidie
 
najaribu kurekebisha huo mlolongo kama ifuatavyo. namba 4 ni sehemu ya namba 2, 6 ni sehemu ya 5, badala ya hiyo kwenye namba 6 isomeke results au data analysis, namba 8 ni sehemu ya namba 7.

Kwa kifupi mpangilio wa 7, 8 na 9 inategemea na unaandika report au article.
Shukran kiongozi
 
Back
Top Bottom