aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 7,527
- 21,151
Wakuu, kuna sehemu imechangamka sana.
Pilikapilika za watu ni karibia 24 hours.
Eneo hili kuna vilabu vya pombe vingi sana.
Kwa ufupi hapa ni uswahilini.
Sasa nataka niwawekee kitimoto rost na ugali.
Changamoto ninayoiona hata kabla sijaingia kwenye hii biashara ni watu wa eneo hili.
Asilimia kubwa ni watu wenye asili ya kutoka Pemba, na wote tunajua watu wenye asili ya kutoka huko imani yao ni ipi.
Kuna yeyote ana uzoefu na maeneo kama hayo kwa biashara hiyo?
Pilikapilika za watu ni karibia 24 hours.
Eneo hili kuna vilabu vya pombe vingi sana.
Kwa ufupi hapa ni uswahilini.
Sasa nataka niwawekee kitimoto rost na ugali.
Changamoto ninayoiona hata kabla sijaingia kwenye hii biashara ni watu wa eneo hili.
Asilimia kubwa ni watu wenye asili ya kutoka Pemba, na wote tunajua watu wenye asili ya kutoka huko imani yao ni ipi.
Kuna yeyote ana uzoefu na maeneo kama hayo kwa biashara hiyo?