Nataka msaada jinsi ya kumuacha mpenzi wangu

Nataka msaada jinsi ya kumuacha mpenzi wangu

lukas charles

Member
Joined
Jan 5, 2017
Posts
82
Reaction score
47
Nina mpenzi wangu yapata miezi tano hatujawahi kukosana lakini ananichanganya natamani nimuache sababu nahisi sio mwaminifu kwangu maana ananipigia simu au sms akiwa nashida ya pesa tu kingine nikiangalia simu yake haina sms wala incoming calls hata moja

Hata kama tumemaliza kuchat au kuongea tukitembea pamoja ananichagulia njia za kupita sasa chocho ambako hakuna watu kusema ukweli ananiudhi
 
nina demuwangu yapata miezi tano gatuja wahi kukosana lakini ananichanganya natamani nimuache sababu nahisi siomwaminifu kwangu maana ananipigia sim au sms akiwa nashida ya pesa tu kingine nikiangalia simu yake haina sms wala incoming coll hata moja hata kama tumemaliza kuchat au kuongea tukitembea pamoja ananichagulia njia za kupita asasa chocho ambako hakuna watu sema ukweli ana niuzi
Mi nakushauri maliza shule kwanza. Mapenzi na shule ni kama chumvi na chai...
 
Mh huyo nyendo zake si salama kabisa. Ukiona hivyo ujue hizo njia zina mabwana zake, alaf tabia ya kufuta sms na calls ni ili kujilinda usijue. Simply ana cheat
 
Ivi hadi dunia hii kuna watu wanatumia na mapenzi kweli
 
Kitu cha kwanza hakikisha humpi hela ulizopewa za tuition ohoooooooo utapigwa home kinoma
 
Unawaza tigo tu braza ktika maisha yako
Sasaa si unataka mbinuj au??? Nakupaa mbinu nzurii maana kama huwezi kumpotezea manzi na anakufanyia upuuzi kama huoo bhasi una matatizo...so muombee tigo aondoke mwenyewee
 
Hayaa labdaa kusomaa hujuii kabisa... PICHA nazo ukiona huelewii
 
dah nimecheka sana.
Kwa huo mwandiko nakushauri muache tu unampotezea mda wake
 
Back
Top Bottom