kama kukosa wachumba nikose tu ila sikati govi
Ni rahisi kuambukiza/zwa magonjwa yanayotokana na zinaa ukiwa hujatahiriwa. Dogo kakatw hilo dude unless sema km umelata thread kufurahisha umma
Govi ni uchafu...katoe huo uchafu
mi ni kijana,nipo simiyu,nahitaji mchumba msichana wa umri wa miaka 22-28,aliye tayari ani pm
Na kwanini hujatahiriwa mkuu! Ujue cku hizi ni fasta tu.. We unacomplicate mambo sana. Ucnikumbushe mambo ya pornstars wewe; hahahaMmii ni kijana,nipo Simiyu nahitaji mchumba msichana wa umri wa miaka 22-28,aliye tayari ani pm.
Nani akutake na ligovi lako hilo?