Mai-Ndombe
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 542
- 833
Mmii ni kijana,nipo Simiyu nahitaji mchumba msichana wa umri wa miaka 22-28,aliye tayari ani pm.
mi ni kijana,nipo simiyu,nahitaji mchumba msichana wa umri wa miaka 22-28,aliye tayari ani pm
NENDA ZAMBIA hawatairi utabeba tu mwaya, vinginevyo mbeya, Iringa, Sumbawanga nadi Njombe aaaaah kama unanawa unajichukulia mke!!!!! Sema hofu ni lile tuta ukishalikunja wakati wa kumhudumia your wi!! atavumilia kweli manake linakuwa bonge la tuta!!!!
Teh Teh...halafu alifufuka huyu
kama yesu vile ha ha ha