dunia yangu New Member Jan 29, 2015 4 1 Feb 24, 2018 #1 Kila mtu mungu kampangia pakutoboa katika aya Maisha, naitaji kwenda marekani ningependa kujua taratibu za kufata na upatikanaji wa visa pamoja na garama za nauli mpaka kufika uko Wajuzi wa mambo msaada wenu tafadhari
Kila mtu mungu kampangia pakutoboa katika aya Maisha, naitaji kwenda marekani ningependa kujua taratibu za kufata na upatikanaji wa visa pamoja na garama za nauli mpaka kufika uko Wajuzi wa mambo msaada wenu tafadhari
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,891 155,894 Feb 24, 2018 #2 Anzia unakoabudu Kwanza. Kadiri hiyo visa kwenye ulimwengu wa rohoni ukiipata, nenda ubalozini sasa, hawatoweza kukuzingua
Anzia unakoabudu Kwanza. Kadiri hiyo visa kwenye ulimwengu wa rohoni ukiipata, nenda ubalozini sasa, hawatoweza kukuzingua
B bagamoyo JF-Expert Member Jan 14, 2010 21,318 24,218 Feb 24, 2018 #4 Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu, My American experience