Nataka kuvunja ndoa yangu na ndoa ya baba mkwe, naomba ushauri wako kabla janga halijatokea

Habari za kazi wanajamvi! Ninawasalimu kwa jina la JF....!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, namshukuru Mola nimejaliwa mke mzuri na mtoto mmoja. Pia Mola amenijalia kazi nzuri ambayo inanipatia kipato kizuri tu...Kwa kifupi, pesa kwangu siyo tatizo sana.

Pia nina mahusiano mazuri tu na ndugu zangu wa pande zote (upande wa wazazi wangu na upande wa wakwe zangu). Namshukuru Mola pia wazazi na wakwe zangu pia wamejaliwa kipato (wanajiweza...siyo tegemezi), hivyo wametupunguzia mimi na mke wangu mzigo wa gharama (kuwahudumia).

Nimetokea kuwa na mahusiano ya karibu sana na MAMA MKWE wangu, alinikubali sana tokea nilipomchumbia binti yake. Na baada ya kuishi na binti yake kwa muda kwenye ndoa yetu, mama mkwe alizidisha kunikubali na kunipenda zaidi (kwa kifupi mke wangu huwa nampenda na kumjali sana... I'm a caring & responsible husband). Mama mkwe amekuwa akinisifu mara kadhaa kwa namna ninavyoijali familia yangu, na ninavyomjali yeye pia.

Kwa kipindi cha miezi michache iliyopita, tumetokea kuzoana sana na mama mkwe wangu, na ukaribu baina yetu umezidi kupita maelezo. Imefika hatua frequncy ya mawasiliano kati yangu na mama mkwe imezidi hata ile ya mke wangu. Na hapa ndio mwanzo wa changamoto yangu hii, ambayo imenifanya nije kuomba ushauri wenu.

Kutoka na huu ukaribu uliopo baina yetu, imefika hatua mimi na mama mkwe ni kama washikaji tu! Utani baina yetu ni sehemu ya maisha. Huwa hachoki kunisifia, mara utamsikia akinisifu "U r a real gentle man, handsome and caring daddy..binti yangu anaenjoy kuwa na wewe...huwa ananiambia!" "I love you my handsome baby...! Haya ni baadhi ya maneno ambayo mama mkwe amekuwa akiniambia...akinimwagia sifa! Zaidi ya yote, ma emoji yenye makopakopa kwaye chats anazonitumia ni kama yote!

Na mimi huwa najibu mapigo kwa kumsifia pia "Mom nakushukuru kwa kunizalia binti mrembo...mke wangu, Mola amekujalia umefyatua chuma kikali kama wewe mwenyewe vile/photocopy yako...! Akacheka kidogo na kunijibu "Thubuti! Kwangu haingii hata nusu...unanionaje my handsome baby?...Urembo alionao mke wako ni robo tu ya urembo wa mimi mama yake, hata nusu hajanifikia!" Ni kweli mama mkwe wangu ni mrembo ana umri wa miaka 52 sasa lakini ukimuona utafikiri ni binti wa miaka 22. Hakika baba mkwe anafaidi jamani!! Kwa kifupi mama mkwe amefanikiwa kuniingiza mtegoni...nimetegeka sina ujanja. Naona shetani amenikaba na roba ya mbao yenye misumari, nimesurrender!

Mama mkwe anataka tupige show! Natamani kupiga naye show ila nikiangalia kitakachofuata baada ya show, ni mlipuko wa bomu kubwa zaidi ya bomu la atomic, ambalo litaangamiza na watu wasiohusika! Naogopa siku nikija kupiga show ipo siku hii ishu itabackfire! Huwa najiuliza maswali yafuatayo:
1. Je, mke wangu akija kugundua nimekula yai (mke wangu)kisha kumchinja na kumla kuku aliyetaga yai (Mama yake mzazi). Tena bora angekuwa mama wa kambo ishu ingekuwa nyepesi kidogo! Bila shaka ndoa yangu itavunjika na mke wangu anaweza hata kujitia kitanzi. Nikiwaza hivyo huwa naogopa sana kupiga show na mama mkwe wangu!
2. Je, baba mkwe wangu akija kugundua kuwa nimemla mke wake (Mama mkwe wangu, atajisikiaje? Bila shaka ndoa yake itavunjika anaweza ama akijipiga risasi au akanipoteza mimi au akaondoka na mimi peponi!
3. Je, shemeji zangu na ndugu wa baba mkwe na mama mkwe wangu watajisikiaje siku wakisikia nimemtafuna mama mkwe wangu? Bila shaka watanichukia na kunifanyia kitu kibaya!
4. Je, ndugu zangu (hasa wazazi wangu) watajisikiaje wakijakusikia kuwa mimi nimemgegeda mama mkwe wangu? Bila shaka wataniona mimi ni shetani! Watanitenga!
5. Je, kazini kwangu wakisikia hii habari watanionaje?
6. Je, jamii inayonizunguka ikijakusikia kuwa nimemgonga mama mkwe wangu, itanionaje? Sura yangu nitaificha wapi?
Nikijiuliza maswali hayo na mengine mengi huwa nakosa kabisa hamu ya mbususu. Inafika hatua natamani ningekuwa padri ili nisingekuwa nakula mbususu kabisa.

Kwa kifupi, mama mkwe anataka nimtafune. Nimejaribu kumuuliza maswali hayo hapo juu na mengine mengi lakini hataki kunielewa! Anasema tutafanya kwa kificho sana hakuna mtu atakayejua. Hilo kwangu najua haliwezekani...mapenzi ni kikohozi...za mwizi arobaini! Ipo siku hii ishu itabackfire tu.

Nimechajibu kuchomoka ili niachane naye ili tufike anakotaka twende, amenipiga mkwara mkali sana. Amesema nikikataa atanigeuzia kibao kwamba ninamtaka kimapenzi, atamwabia mke wangu na baba mkwe wangu...kuwa nimemkosea heshima! Chat zangu za mahaba tunazochat naye anasema amezihifadhi, ni kunithibitishia hilo chat zingine za miezi ya nyuma ameniforwadia, ili kuthibitisha kuwa hatanii! Hili nalo nimenipa mtihani na kunifanya nijiulize:
1. Je, nikigoma kumla na akanitangaza kwamba ninamtaka kimapenzi, si aibu itabaki palepale...Na mke wangu akisikia hivyo ndoa si itavunjika?
2. Baba mkwe akisikia ninataka kumzunguka si atanipoteza kabisa?
3. Ngugu zangu na jamii nzima wakisikia hivyo si wataniona mimi shetani tu?

Kwa kifupi, baada ya kuwaza na kuwazua juu ya hili jambo nimeamua kupiga show na mama mkwe. Kwa sababu nikigoma kupiga show, mama mkwe ataniharibia...ndoa yangu itavunjika, ndugu zangu na jamii nzima itanidharau, na naweza kuishia kujimaliza mwisho wa siku! Nimeamua bora nimtafune mama mkwe wangu ili hata nikija kupata adhabu iwe halali yangu, kuliko nikatae kumtafuna bado nije niadhibiwe na kufedheheshwa bila kosa!
Ushauri wako ni wa mhimu sana mwana JF, maana bomu lililotegwa naona litakuwa balaa...litaua na wasiohusika! Amani itawale!
Kwetu ni mwiko kumgusa mama mke hata kuogea kwenye bafu moja, ndo nimejua kwanini mila zetu zinaumuhimu sana, sasa angalia huyu mswahili anavyo nena ujinga mtupu.
 
Uko vzr mwamba nimekusoma bila shaka, inawezasaidia ingawa bado mpini kashika yeye, mimi nimeshika makali. Naogopa kumshirikisha mke wangu juu ya hili jambo. Anaweza panic akaharibu show jumla. Hawa viumbe si unawajua lkn?

Ukishajitoa kisaikolojia utamkinai labda tu kama na wewe mpenda show,kula lakini kifo kitokee.Mfano mme wake akijua utakula risasi au ataua au kujiua.Akijiua ni lazima ndugu zake au watoto wake nao wakusake wakuue.
Hilo ni bomu chomoa fyuzi ufe.
 
Kwetu sisi mama mkewe hatuchangii nyumba moja atakaa nyumba za nje akija kusalimia wajukuu hofu ni kuepuka haya ya kutafunana.
 
Acha upumbavu huo chatting Gani hizo mnaanza kusifiana ujinga ujinga, yaanii kabisa unajua kitakachotokea halafu Bado unaweka miahadai ya kumnjunja mama mkwe wako, futa mazoea ya kijinga hayo focus Kwenye familia yako
 
dhambi ipo mlangoni je utaishinda? Shujaa hatishiwi bali husonga mbele akiamini maamzi yake
tena kummbuka hata yusufu alipokuwa misiri mwanamke wa mkuu wake alipompenda mbona alikimbia huku watu wakinga yowe
 
Usitufanye wajinga, na wewe si uhifadhi hizo sms pamoja na sauti zinazomuonesha akikutaka kimapenzi. Kisha mtumie umueleze na mimi ushahidi ninao ukizingua naweka hadharani... Ishu ndogo hivyo unashindwa nini.
 
Habari za kazi wanajamvi! Ninawasalimu kwa jina la JF....!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, namshukuru Mola nimejaliwa mke mzuri na mtoto mmoja. Pia Mola amenijalia kazi nzuri ambayo inanipatia kipato kizuri tu...Kwa kifupi, pesa kwangu siyo tatizo sana.

Pia nina mahusiano mazuri tu na ndugu zangu wa pande zote (upande wa wazazi wangu na upande wa wakwe zangu). Namshukuru Mola pia wazazi na wakwe zangu pia wamejaliwa kipato (wanajiweza...siyo tegemezi), hivyo wametupunguzia mimi na mke wangu mzigo wa gharama (kuwahudumia).

Nimetokea kuwa na mahusiano ya karibu sana na MAMA MKWE wangu, alinikubali sana tokea nilipomchumbia binti yake. Na baada ya kuishi na binti yake kwa muda kwenye ndoa yetu, mama mkwe alizidisha kunikubali na kunipenda zaidi (kwa kifupi mke wangu huwa nampenda na kumjali sana... I'm a caring & responsible husband). Mama mkwe amekuwa akinisifu mara kadhaa kwa namna ninavyoijali familia yangu, na ninavyomjali yeye pia.

Kwa kipindi cha miezi michache iliyopita, tumetokea kuzoana sana na mama mkwe wangu, na ukaribu baina yetu umezidi kupita maelezo. Imefika hatua frequncy ya mawasiliano kati yangu na mama mkwe imezidi hata ile ya mke wangu. Na hapa ndio mwanzo wa changamoto yangu hii, ambayo imenifanya nije kuomba ushauri wenu.

Kutoka na huu ukaribu uliopo baina yetu, imefika hatua mimi na mama mkwe ni kama washikaji tu! Utani baina yetu ni sehemu ya maisha. Huwa hachoki kunisifia, mara utamsikia akinisifu "U r a real gentle man, handsome and caring daddy..binti yangu anaenjoy kuwa na wewe...huwa ananiambia!" "I love you my handsome baby...! Haya ni baadhi ya maneno ambayo mama mkwe amekuwa akiniambia...akinimwagia sifa! Zaidi ya yote, ma emoji yenye makopakopa kwaye chats anazonitumia ni kama yote!

Na mimi huwa najibu mapigo kwa kumsifia pia "Mom nakushukuru kwa kunizalia binti mrembo...mke wangu, Mola amekujalia umefyatua chuma kikali kama wewe mwenyewe vile/photocopy yako...! Akacheka kidogo na kunijibu "Thubuti! Kwangu haingii hata nusu...unanionaje my handsome baby?...Urembo alionao mke wako ni robo tu ya urembo wa mimi mama yake, hata nusu hajanifikia!" Ni kweli mama mkwe wangu ni mrembo ana umri wa miaka 52 sasa lakini ukimuona utafikiri ni binti wa miaka 22. Hakika baba mkwe anafaidi jamani!! Kwa kifupi mama mkwe amefanikiwa kuniingiza mtegoni...nimetegeka sina ujanja. Naona shetani amenikaba na roba ya mbao yenye misumari, nimesurrender!

Mama mkwe anataka tupige show! Natamani kupiga naye show ila nikiangalia kitakachofuata baada ya show, ni mlipuko wa bomu kubwa zaidi ya bomu la atomic, ambalo litaangamiza na watu wasiohusika! Naogopa siku nikija kupiga show ipo siku hii ishu itabackfire! Huwa najiuliza maswali yafuatayo:
1. Je, mke wangu akija kugundua nimekula yai (mke wangu)kisha kumchinja na kumla kuku aliyetaga yai (Mama yake mzazi). Tena bora angekuwa mama wa kambo ishu ingekuwa nyepesi kidogo! Bila shaka ndoa yangu itavunjika na mke wangu anaweza hata kujitia kitanzi. Nikiwaza hivyo huwa naogopa sana kupiga show na mama mkwe wangu!
2. Je, baba mkwe wangu akija kugundua kuwa nimemla mke wake (Mama mkwe wangu, atajisikiaje? Bila shaka ndoa yake itavunjika anaweza ama akijipiga risasi au akanipoteza mimi au akaondoka na mimi peponi!
3. Je, shemeji zangu na ndugu wa baba mkwe na mama mkwe wangu watajisikiaje siku wakisikia nimemtafuna mama mkwe wangu? Bila shaka watanichukia na kunifanyia kitu kibaya!
4. Je, ndugu zangu (hasa wazazi wangu) watajisikiaje wakijakusikia kuwa mimi nimemgegeda mama mkwe wangu? Bila shaka wataniona mimi ni shetani! Watanitenga!
5. Je, kazini kwangu wakisikia hii habari watanionaje?
6. Je, jamii inayonizunguka ikijakusikia kuwa nimemgonga mama mkwe wangu, itanionaje? Sura yangu nitaificha wapi?
Nikijiuliza maswali hayo na mengine mengi huwa nakosa kabisa hamu ya mbususu. Inafika hatua natamani ningekuwa padri ili nisingekuwa nakula mbususu kabisa.

Kwa kifupi, mama mkwe anataka nimtafune. Nimejaribu kumuuliza maswali hayo hapo juu na mengine mengi lakini hataki kunielewa! Anasema tutafanya kwa kificho sana hakuna mtu atakayejua. Hilo kwangu najua haliwezekani...mapenzi ni kikohozi...za mwizi arobaini! Ipo siku hii ishu itabackfire tu.

Nimechajibu kuchomoka ili niachane naye ili tufike anakotaka twende, amenipiga mkwara mkali sana. Amesema nikikataa atanigeuzia kibao kwamba ninamtaka kimapenzi, atamwabia mke wangu na baba mkwe wangu...kuwa nimemkosea heshima! Chat zangu za mahaba tunazochat naye anasema amezihifadhi, ni kunithibitishia hilo chat zingine za miezi ya nyuma ameniforwadia, ili kuthibitisha kuwa hatanii! Hili nalo nimenipa mtihani na kunifanya nijiulize:
1. Je, nikigoma kumla na akanitangaza kwamba ninamtaka kimapenzi, si aibu itabaki palepale...Na mke wangu akisikia hivyo ndoa si itavunjika?
2. Baba mkwe akisikia ninataka kumzunguka si atanipoteza kabisa?
3. Ngugu zangu na jamii nzima wakisikia hivyo si wataniona mimi shetani tu?

Kwa kifupi, baada ya kuwaza na kuwazua juu ya hili jambo nimeamua kupiga show na mama mkwe. Kwa sababu nikigoma kupiga show, mama mkwe ataniharibia...ndoa yangu itavunjika, ndugu zangu na jamii nzima itanidharau, na naweza kuishia kujimaliza mwisho wa siku! Nimeamua bora nimtafune mama mkwe wangu ili hata nikija kupata adhabu iwe halali yangu, kuliko nikatae kumtafuna bado nije niadhibiwe na kufedheheshwa bila kosa!
Ushauri wako ni wa mhimu sana mwana JF, maana bomu lililotegwa naona litakuwa balaa...litaua na wasiohusika! Amani itawale!
It is time for tea ☕
 
Acha upumbavu huo chatting Gani hizo mnaanza kusifiana ujinga ujinga, yaanii kabisa unajua kitakachotokea halafu Bado unaweka miahadai ya kumnjunja mama mkwe wako, futa mazoea ya kijinga hayo focus Kwenye familia yako
Huyu jama akili zake haziko sawa ni watu waliokosa maadili ya malezi, utasifiaje urembo wa mama mkwe wako, huyu kwa akili zake ata mama ake mzazi anaweza akamfanya jambo akitishiwa tu.
 
Kama hiki kisa ni cha kweli na kama wewe ni Muislam, nakunasihi na kukukumbusha kuwa Mama mkwe ni Mahram kwako. Tena anakuwa Mahram kwako milele. Ukimuoa tu Mwanamke, Mama yake huyo Mwanamke ni Mahram wako milele (ameharamishwa kwako wewe kumuoa milele). Sasa wewe unataka kuzini na Mahram wako
Jambo zito hilo.

Halafu pia utaharibu na kuvunja familia za watu wa karibu mno ikiwemo kuharibu uhusiano kati ya Mama na Mtoto wake. Utaweza kuubeba huu mzigo?

Ulishakosea pale ulipokosa adabu kwa Mama mkwe, hivyo ukaingia mtego, sasa unapoelekea ni kubaya zaidi kama usiporudi nyuma na kuachana na hilo.

Kama wewe ni Muislam, hizo ndizo nasaha zangu kwako.

Yangu ni hayo tu.
 
Kuna mtu kasema huyu ni mtu mzima. Hey!! Big no.
Huyu ni kijana. Ndio yupo na 30.
Hawezi kuelewa maisha na heshima katikati maisha kiufupi hajavuka bado..
wewe piga tu mama mkwe wako. Ufurahi
 
Back
Top Bottom