Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,037
- 71,271
Ujinga mtupu.Kaomba ushauri ajaomba matusi.Haya mambo mbona yapo tele kwenye jamii
Huwezi kua na Mawasiliano ya kificho na usiri na Mama Mkwe wako kiasi hiko kama wewe Mwanaume Una Akili.
Maana yake ,Mtoa mada ndiye aliyeanzisha hayo Kwa Mama Mkwe wake.
Na Huu Ndio nasema ni Ujinga