MENISON
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 726
- 622
Nataka nijaribu kufanya hii biashara, mimi ni mwajiriwa hiyo pesa nimeweka akiba miaka mitatu. Nataka nianze na coaster moja , sema sina ujuzi na hii biashara.
Hiyo gari sina uhakika kama ni nzima sana, na nikichukua sitaendesha mimi.
Ipo Mbezi to Kawe , nataka iendelee na route hiyo hiyo.
Nina maswali yafuatayo
1 itaweza kurudisha hela baada ya muda gani?
2 Ni sh ngapi kwa siku kwa wastani madeeeva wanaleta?
3 Services zake ni baada ya muda gani na gharama?
4 Ni sahihi kwa ambaye hajawahi kufanya kuingia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo gari sina uhakika kama ni nzima sana, na nikichukua sitaendesha mimi.
Ipo Mbezi to Kawe , nataka iendelee na route hiyo hiyo.
Nina maswali yafuatayo
1 itaweza kurudisha hela baada ya muda gani?
2 Ni sh ngapi kwa siku kwa wastani madeeeva wanaleta?
3 Services zake ni baada ya muda gani na gharama?
4 Ni sahihi kwa ambaye hajawahi kufanya kuingia?
Sent using Jamii Forums mobile app