Nataka kusoma bachelor degree in ICT

Nataka kusoma bachelor degree in ICT

Lio 002

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2014
Posts
436
Reaction score
68
Ndugu wana JF mimi namaliza diploma yangu ya Marketing management nataka intake ya january ni apply bachelor ya ICT je, ni chuo gani kizur Dar es Salaam?
 
Kasome, ila jiandae kuhangaika ajira kama una ndoto za kuajiriwa maana hii field sasa imekuwa na watu weng ni majina tu ya degree yanatofauti, nenda Mzumbe
 
Kasome, ila jiandae kuhangaika ajira kama una ndoto za kuajiriwa maana hii field sasa imekuwa na watu weng ni majina tu ya degree yanatofauti, nenda Mzumbe

Wanaweza wakamipokea coz nna diploma ya marketing?
 
Nenda huko2 mzumbe utapokelewa pesa yako tu ila ndo hivyo ujiandae kujiajiri kabisa sio kutegemea ajira bro
 
Ndugu wana jf mm namaliza diploma yangu ya Marketing management nataka intake ya january ni apply bachelor ya ICT je ni chuo gani kizur bongo????

achana na mambo ya ict kama unaweza, kama huna alternative poa. pia angalia family background kama mko vizuri yaan unaweza pata capital sawa kama kibongo bongo ndg yangu tutakuona sana hapa jf unalalamika.
 
achana na mambo ya ict kama unaweza, kama huna alternative poa. pia angalia family background kama mko vizuri yaan unaweza pata capital sawa kama kibongo bongo ndg yangu tutakuona sana hapa jf unalalamika.

Sasa ww ndugu yangu wanishauri nn au nisome coz gani?
 
Nini kinakukimbiza usiendelee na Marketing na nini kinakuvutia ukasome ICT?

Seriouzly speaking ICT ipo sana moyoni kuliko Marketing huku nahisi kama vile nakuwa mtumwa kusoma marketing aiseeee
 
Nenda kasome ICT hiyo naaa kama ukienda Mu wanaiita ICTM...hata mie naipendaga sana hii kozi..sema basi tu..ila ukisoma na ukawa na mawazo ya kujiajiri ndugu utafika mbali sana...
 
Nenda kasome ICT hiyo naaa kama ukienda Mu wanaiita ICTM...hata mie naipendaga sana hii kozi..sema basi tu..ila ukisoma na ukawa na mawazo ya kujiajiri ndugu utafika mbali sana...

Siku hizi MU kuna ICTM, ICTB na ITS
 
Nenda kasome ICT hiyo naaa kama ukienda Mu wanaiita ICTM...hata mie naipendaga sana hii kozi..sema basi tu..ila ukisoma na ukawa na mawazo ya kujiajiri ndugu utafika mbali sana...

Naweza nika apply hapo mwana na nikapata?
 
tubadilishane nkupe degree ya IT ya udsm unipe hyo ya marketing

Mmmmm kuna kampuni moja (international) imefungua tawi 3years back Tz..... hawataki kusikia wanaICT wa UD wanasema wana GPA kubwa ndio lakini practical hawawezi
 
Mmmmm kuna kampuni moja (international) imefungua tawi 3years back Tz..... hawataki kusikia wanaICT wa UD wanasema wana GPA kubwa ndio lakini practical hawawezi

Vp ud mwanangu kuzuri eeee kwa ICT?
 
Inategemea O'level na advance ulisoma nini. Ila lazma uwe ulisoma hesabu na mazagazaga kama hayo

O'level nilisoma sayans sema nilikuwa nna D za phy,chem,bio na F ya math na nna diploma ya marketing cwezi kuchaguliwa boy?
 
Back
Top Bottom