kat.ph
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,222
- 1,679
Vp ud mwanangu kuzuri eeee kwa ICT?
Pazuri kwa theory. Practically nah!!! And site wanataka practical sio theory
Vp ud mwanangu kuzuri eeee kwa ICT?
O'level nilisoma sayans sema nilikuwa nna D za phy,chem,bio na F ya math na nna diploma ya marketing cwezi kuchaguliwa boy?
Na hapo kuna kozi gani boy?
ndugu wana jf mm namaliza diploma yangu ya marketing management nataka intake ya january ni apply bachelor ya ict je ni chuo gani kizur bongo????
Nenda kasome ICT hiyo naaa kama ukienda Mu wanaiita ICTM...hata mie naipendaga sana hii kozi..sema basi tu..ila ukisoma na ukawa na mawazo ya kujiajiri ndugu utafika mbali sana...
Ndugu nina hiyo kibindoni, ki ukweli ICT sio kitu cha kusoma degree kwangu mimi njnge mshahuri akomae ha hayo mengine ya marketing au finance ni bora zaidi, then akitaka Master ndio akapige ya ICT itakayo major kwenye Finace/marketing/
soma jambo jingine co IT utajuta
soma jambo jingine co IT utajuta
Hizi kozi zimeshajaa watu, wahitimu wengi lakini fursa chache fikiria ukimaliza unakuja kucompete na waliosoma computer science, information system, Information technology, computer engineering na kadhalika, so kama ukifocus kuajiriwa ndugu yangu utasota maana ajira zake zinatoka moja moja then mnaitwa interview watu 300