Ni kweli plz nishaur nisome ipi hapo
waskuzingue we soma IT ...nenda ifm
Ndugu ni kawaida kwa binadamu kuona kitu asicho kua nacho hakimfai..binafsi nimesoma Sheria..naona sheria magumashi kuna vitu vingi sana ningeweza vifanya kwa muda mdogo sema sababu ya knowledge ndogo ya IT natumia muda mwingi kuvia accomplish..IT ni fresh sana ukiwa na mawazo ya kujiajri utaona life liko fresh tu yan..Amini hivyo ndugu..Ndugu nina hiyo kibindoni, ki ukweli ICT sio kitu cha kusoma degree kwangu mimi njnge mshahuri akomae ha hayo mengine ya marketing au finance ni bora zaidi, then akitaka Master ndio akapige ya ICT itakayo major kwenye Finace/marketing/
Mmmmm kuna kampuni moja (international) imefungua tawi 3years back Tz..... hawataki kusikia wanaICT wa UD wanasema wana GPA kubwa ndio lakini practical hawawezi
Ndugu ni kawaida kwa binadamu kuona kitu asicho kua nacho hakimfai..binafsi nimesoma Sheria..naona sheria magumashi kuna vitu vingi sana ningeweza vifanya kwa muda mdogo sema sababu ya knowledge ndogo ya IT natumia muda mwingi kuvia accomplish..IT ni fresh sana ukiwa na mawazo ya kujiajri utaona life liko fresh tu yan..Amini hivyo ndugu..