princessita
Member
- Aug 19, 2013
- 21
- 6
Habari waungwana nataka kushika mimba mzunguko wangu ni wa siku 28 hadi 32 naomba kujua siku za kushika mimba ni zipi?
Habari waungwana nataka kushika mimba mzunguko wangu ni wa siku 28 hadi 32 naomba kujua siku za kushika mimba ni zipi?
Asante ntajitahidi ila kwa sisi tuliolewa kuzuia siku zote hiyo kutokufanya mapenzi mpaka ya 13 ni. Ngumu au nijifanye naumwa