Nataka kuonana na Lowassa, nifanyeje?

Nataka kuonana na Lowassa, nifanyeje?

Mlalahoi Mlalahai

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2015
Posts
399
Reaction score
148
Nataka kuonana na mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa, sio kwa lengo la kwenda kulia njaa, bali kuonana naye tu ana kwa ana na kuzungumza naye, please mwenye uwezo na hili anisaidie
 
Uko mkoa gani ?
Maana huyu kiongozi wa watu alisha tangaza kutembea nchi nzima kuwashukuru wapigakura wake. Kwa hiyo msubibi tu akija mkoani kwako utafanya maarifa ya kuonana nae.
 
Mimi pia natamani sana kuonana na Lowassa. Niko dar
 
Mbona rahis sana, nenda Monduli kwenye malisho ya ng'ombe ila wewe nenda na mbuzi ili mpige story vizuri kwa kuwa atajua kuwa na wewe ni mchunga ng'ombe mwenzake.
 
onana kwanza na Mbowe atakukutanisha naye ila uwe na ela ya udalali(ela ya soda)
 
Kama wew ni bodaboda badi simple..tuma kwanza pesa yakutosha kwa mbowe then wait week moja atakupigia simu umtumie tena pesa nyingine. Kwenye account gani ili muweze kupanga cku ya kukutanishwa na huyo fisadi..
 
Mbona simpo mtafute gwajima kata mpunga wa maana akupeleke
 
Nenda kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii then mtext sms kuwa unataka kuonana naye, afuyeye atajua mkutanie wapi.
 
Back
Top Bottom