Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,190
- 5,046
Wakuu kamwene, mwamishaga.
Iko hivi nlipata mdada mmoja kwenye group la kabila letu nikampenda nikamwambia anitumie picha akawa anatuma picha ambazo kumbe ni edited si halisia mdada alikuwa south africa huko na nduguye nikamshawishi aje tuanze maisha kweli akakwea pipa mpk DSM nikampokea aisee nlipomuona nikagundua zile picha alikuwa ana edit tu.
Kiukweli sikumpenda sa naanzaje kumwambia kwamba mi sijakupenda ikabidi nikubaliane na hali halisi kwama huu ni mzigo wangu sina budi kuubeba tulipumzka na kesho yake tukasafiri kwenda kwao nikajtambulisha nk. nikaondoka naye mpk kwangu huu ni mwaka wa 4 kwa kweli ni mwanamke mtii sana uzuri pia mi sipigagi mwanamke kabisa nikampa mtaji wa biashara anaendelea vema sana na anajituma hana tatizo kwa kweli.
Sasa nimeamua kutoka moyoni takuwa na wake wawili yani nitaoa mwingine wawe wawili kila mtu na mji wake na yeye simuachi abaki kuwa mke wangu mkubwa na mdogo atakuwepo naahidi nitawapenda na kuwatunza wote kama wake zangu. JE WAKUU MNAONAJE?
Iko hivi nlipata mdada mmoja kwenye group la kabila letu nikampenda nikamwambia anitumie picha akawa anatuma picha ambazo kumbe ni edited si halisia mdada alikuwa south africa huko na nduguye nikamshawishi aje tuanze maisha kweli akakwea pipa mpk DSM nikampokea aisee nlipomuona nikagundua zile picha alikuwa ana edit tu.
Kiukweli sikumpenda sa naanzaje kumwambia kwamba mi sijakupenda ikabidi nikubaliane na hali halisi kwama huu ni mzigo wangu sina budi kuubeba tulipumzka na kesho yake tukasafiri kwenda kwao nikajtambulisha nk. nikaondoka naye mpk kwangu huu ni mwaka wa 4 kwa kweli ni mwanamke mtii sana uzuri pia mi sipigagi mwanamke kabisa nikampa mtaji wa biashara anaendelea vema sana na anajituma hana tatizo kwa kweli.
Sasa nimeamua kutoka moyoni takuwa na wake wawili yani nitaoa mwingine wawe wawili kila mtu na mji wake na yeye simuachi abaki kuwa mke wangu mkubwa na mdogo atakuwepo naahidi nitawapenda na kuwatunza wote kama wake zangu. JE WAKUU MNAONAJE?