Evans Martin
Senior Member
- Jan 14, 2014
- 156
- 36
Habari wan jamii
Jamani wana jamii forums, ni sahihi kwa mimi na kaka yangu kuoa familia moja.Naomba nijue kwani kuna ubaya wowote wa mimi kuoa alipooa kaka yangu.Kama kunashida yoyote kuoa sehemu moja mnijuze.
Ushauri wakuu
Jamani wana jamii forums, ni sahihi kwa mimi na kaka yangu kuoa familia moja.Naomba nijue kwani kuna ubaya wowote wa mimi kuoa alipooa kaka yangu.Kama kunashida yoyote kuoa sehemu moja mnijuze.
Ushauri wakuu