Naomba ushauri wa Tablet gani nzuri niweze kununua. Naomba mnipatie aina 3 tofauti za Tablets na mnaweza mkaniwekea na bei zake na ni maduka gani naweza kwenda nikapata. Mimi niko Dar es Salaam.
7" nadhani itanifaa sababu ya 10" inakaribia ukubwa wa Laptop, budget sio tatizo Mkuu. Nataka yenye kutumia sim card
7" nadhani itanifaa sababu ya 10" inakaribia ukubwa wa Laptop, budget sio tatizo Mkuu. Nataka yenye kutumia sim card
soory kwa kwenda nje ya mada
Hivi mkuu Chief-Mkwawa simu kuwa slow kwenye touch inaweza kua ni mdudu gani huyu?
Simu yangu ya samsung kuanzia jana yaani naadika SMS kwa shida sana mpaka sitaki kuchat kabisa
Nimeangalia kwenye settings kama kuna somewhere labda pa kupunguza au kuongeza touch sensitive sijaona
Msaada wa mawazo unaitajika
wakati wote au kuna wakati inafanya wakati haifanyi?
kuna kipindi simu yangu ilikuwa inabehave hivyo then nikaja kujua kuwa imekufa internal memory, yaani zile flash memory zimeanza kufa. hio ni moja ya tatizo.
jaribu kufanya troubleshoot ndogo ndogo kama kuzima simu, kutumia mikono ikiwa mikavu, kuformat nk. ikikataa unroot wapelekee samsung kama una warranty
Sijui unahitaji kwakutibu nini?Kabla hujapatashida chukua paracetamol mkuu!
yaani ilianza hivi
sehemu fulani ya screen ilikua hai respond kabisa yaani hii nilikua inanipa Shida nikifungua JF android app afu nkafungua Education forums sasa ile sehemu ya JF tech yaani ya pili kutoka juu ilikua hai respond na hiyo sehemu ni kwa vitu vyote ila shida kubwa nilikua naipata kwenye JF app...Ikanibidi nifanye factory reset bado tatizo likabaki pale pale
jana tatizo jingine likaibuka nikiwa na type na keyboard hazi respond kabisa kuna herufi mpaka uziminye mara kadhaa ndo inaandikwa nikafikiri labda ni protector nikaiondoa bado ikawa worse nimenunua nyingine leo protector shida pale pale
labda hapa nijiandalie tu kwenda samsung
njunwa wamavoko na Chief-Mkwawa, jana nimezunguka kwenye maduka ya mawakala wa Samsung sikuweza kupata Samsung Galaxy Tab S ya 8.4", jumamosi ijayo nitazunguka kwenye maduka mengine nione kama itapatikana. Nisipoipata itabidi nichukue Samsung Galaxy Tab 4 ya 7"
njunwa wamavoko na Chief-Mkwawa, jana nimezunguka kwenye maduka ya mawakala wa Samsung sikuweza kupata Samsung Galaxy Tab S ya 8.4", jumamosi ijayo nitazunguka kwenye maduka mengine nione kama itapatikana. Nisipoipata itabidi nichukue Samsung Galaxy Tab 4 ya 7"
Nimefanakiwa kununua Samsung Galaxy Tab S 8.4".
Kwa siku 3 baada ya kuinunua sikuweza kuingia kwenye Play Store kwa kutumia Sim Card ya VodaCom pamoja na kusoma threads mbalimbali kwenye mitandao lakini haikunisaidia. Kutokana na maoni ya watu wengi kuhusiana na hii Tablet ni kwamba, inahitajika strong 3G ama LTE kuweza kuingia kwenye Play Store.
Kwenye mipangilio yangu, jumamosi ya siku ya jana nilinunua Portable Router ya WiFi kwa madhumuni ya kutumia kwenye Smartphone, Tablet na Laptop na watu wengine kama watahitaji. Nilipounganisha hiyo Tablet kwenye WiFi ndio nikafanikiwa kuingia kwenye Google Play Store.
Kwa kifupi nimetokea kuipenda na kuiona Smartphone niliyonayo kama nilikuwa sifurahii matumizi mbalimbali ya kwenye mitandao.
Shukrani kwa njunwa wamavoko na Chief-Mkwawa kwa ushauri mlionipa.
View attachment 202882
Nimefanakiwa kununua Samsung Galaxy Tab S 8.4".
Kwa siku 3 baada ya kuinunua sikuweza kuingia kwenye Play Store kwa kutumia Sim Card ya VodaCom pamoja na kusoma threads mbalimbali kwenye mitandao lakini haikunisaidia. Kutokana na maoni ya watu wengi kuhusiana na hii Tablet ni kwamba, inahitajika strong 3G ama LTE kuweza kuingia kwenye Play Store.
Kwenye mipangilio yangu, jumamosi ya siku ya jana nilinunua Portable Router ya WiFi kwa madhumuni ya kutumia kwenye Smartphone, Tablet na Laptop na watu wengine kama watahitaji. Nilipounganisha hiyo Tablet kwenye WiFi ndio nikafanikiwa kuingia kwenye Google Play Store.
Kwa kifupi nimetokea kuipenda na kuiona Smartphone niliyonayo kama nilikuwa sifurahii matumizi mbalimbali ya kwenye mitandao.
Shukrani kwa njunwa wamavoko na Chief-Mkwawa kwa ushauri mlionipa.
View attachment 202882