Nataka kununua simu ya kike

Hivi kwa sasa kwa soko la bongo, bei za blackberries zikoje wadau?

BB wamepost hasara kubwa sana kwa hiyo sidhani kama hizoo simu zina mashiko tena
Over 4.4 bn US dollar loss kwa quarter ya tatu mwaka huu.
Kazi kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…