Wataalamu wa mambo ya simu hawaingii sana kwenye jukwaa hili.Ungeipeleka thread yako jukwaa la tech gadgets and science ungepata msaada chap!Habari?. Je, hii ni aina nzur ya smartphone? Je zipo apple za aina tofauti? Nishauri ni ipi nzuri,na bei nafuu.
Habari?. Je, hii ni aina nzur ya smartphone? Je zipo apple za aina tofauti? Nishauri ni ipi nzuri,na bei nafuu.
Apple wanatengeneza simu aina ya iPhone tu, hawana simu nyingine. Kila mwaka wanatoa simu moja, iliyo latest sasa hivi ni iPhone 6, na kaka yake 6+ (zinafanana ispokuwa moja ina screen kubwa zaidi), oktoba watatoa nyingine iPhone 6s na 6s+. Apple hawatengenezi simu za bei rahisi na hawana mpango kabisa na vitu vya bei chini. Bei ya iPhone 6 mpya inaanzia 1.2M, iPhone 6+ inaanzia 1.4M.
Hivi sokoni hawashindwi na Samsung kwa simu zao?
Habari?. Je, hii ni aina nzur ya smartphone? Je zipo apple za aina tofauti? Nishauri ni ipi nzuri,na bei nafuu.
kushindwa kimauzo au?
Ndiyo nilimaanisha kimauzo.
Habari?. Je, hii ni aina nzur ya smartphone? Je zipo apple za aina tofauti? Nishauri ni ipi nzuri,na bei nafuu.
ndiyo, samsung wanauza sana kuliko iphone
ndiyo, samsung wanauza sana kuliko iphone
yeye aliongelea tu samsung in general. lakini hata kwa flagship nadhani samsung wanauza zaidi...sina data zenye uhakika lakini. mimi nilishazowea iphone siwezi samsung au androd yoyoteKuuza as samsung general au flagship moja?
iPhone ni kwa watu Fulani sio kila mtu na ni iOS sio android so sidhani Kama unahitaji kuwashindanisha
Habari?. Je, hii ni aina nzur ya smartphone? Je zipo apple za aina tofauti? Nishauri ni ipi nzuri,na bei nafuu.
iPhone ni kwa watu Fulani sio kila mtu na ni iOS sio android so sidhani Kama unahitaji kuwashindanisha
Habari?. Je, hii ni aina nzur ya smartphone? Je zipo apple za aina tofauti? Nishauri ni ipi nzuri,na bei nafuu.
Unajua iPhone ni silent promotion yaan inajiuza yenyewe tofauti na Samsung matangazo mengi lakini quality F