Nataka kununua plot in Kibanda, naomba kujua hili

Nataka kununua plot in Kibanda, naomba kujua hili

mansakankanmusa

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2010
Posts
4,161
Reaction score
801
Aina ya mashahidi watakaostahili kunisimamia. Kipindi hiki cha Magufuli nani atafaa kijiji au serikali za mitaa?
 
Mtaa/ kijiji yote sawa tu jambo la msingi lisiwe eneo la wazi au la serikali
 
Nenda halmasjaur wana viwamja vyao vilvyopmwa ila a aliafuko wako kwanza
 
Kwa sasa kuna aina mpya ya utapeli. Ni utapeli unaohusisha viongozi wa mtaa au kijiji. Utakuta Mtendaji wa kijinji/Mtaa na wenzake wanaungana katika kutapeli wanaonunua viwanja au mashamba. Wanatafuta mmiliki fake, wanakwenda na wewe ofisini na kukuwekea Mhuri. Wewe utatoa pesa yako bila wasiwasi kwa kuwa uko na viongozi wa mahali husika.

Hili kuepuka utapeli.
1. Ukipata eneo, ondoka kwanza halafu siku nyingine urudi peke yako, tafuta mwenyeji anaepakana na eneo hilo. Mpeleleze ili akuambie nani mmiliki wa hilo eneo, ikibidi mpe pesa kidogo. Usiwaamini viongozi wa mtaa/kijiji

2. Hakikisha mke au mume wa muuzaji anakuwa shahidi katika ule mkataba. Hakikisha unafahamu makazi ya muuzaji
 
Kama ni eneo la mradi wa serikali (20,000 project) nenda ardhi. Kama ni eneo lingine hakikisha Mwenyekiti na mtendaji wote wanakwepo. Mtendaji ni mzuri zaidi maana ameajiriwa na serikali hivyo akikutapeli unamwasha kwa mkurugenzi wake.
 
Back
Top Bottom