Dar na Tanzania haiko surveyed mataa kwa mtaa ili iweze kukulipa kwa fedha utakayotumia.
Nilikuja Bongo na moja ambayo nilikuwa naitumia huko nje ilikuwa inashindwa kutambua maeneo kibao,vitu vingine kama sound nilivikosa kabisa,kwa jumla hailipi mpaka hapo baadaye tutakapo survyey mitaa ya nchi hii kikamilifu.