Nataka kumuua mbwa

Kuna njia moja rahisi sana na ndo nayoitumia kupunguza hii mifugo yangu ila inataka moyo kama una roho nyepesi tafuta njia mbadala. Tafuta gongo moja matata( la mti na sio kinywaji) afu subiri mbwa akilala mbamize moja la kichwa hapo atakufa fasta kwani mbwa ukimbamiza kichwani unakata network zote. Na hii ndo dawa ya wale mbwa koko au wenye vichaa.
Nawasilisha
 
Duuh Hii kwa mimi siwezi, nimeamua kumuacha tu
 
MKUU KABADILIKA AU BADO UNAZINGUA?
 
Inavyoonekana hata mkeo akipunguza mautundu utamuacha wewe πŸ˜•πŸ˜•
 
nipe mimi
Gharama halisi ya kuua mbwa kwa daktari wa mifugo ni sh 50,000
 
Usimuue mpeleke kwa sonata amchongee meno ya Silva yenye ncha kali kisha mpeleke kwa dakitari wake amuweke hayo meno.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…