Nataka kumshtaki mke wangu anilipe fidia kwa kunihujumu muda mrefu

Hapana aisee...Huyu lazima ni mwanaume wa mkoani! Hawezi kuwa na tope lote hili kichwani halafu akawa wa Dar!
 
Ha ha ha ha wengi mmepaniki nadhani ni kutokana na frustration za kuwa na wanawwke wasiowaletea mabadiliko chanya, lakini pia unaweza kukuta mijitu mingi humu iliyopaniki imeoa wanawake ambao ni magolikipa hivyo linapokuja suala la kumdai mke fidia kutokana na makosa ya kisheria basi anaona vitu vya ajabu sana maana hata mke wake anaomba hadi pesa ya kununua sindano,

My take: usikubali kuoa mke mjinga mjinga tu asiuejua kutafuta maana mwishowe ni kupata paniki tu kama hizi kwenye thread hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom