Nataka kumrusha mtoto darasa

Kah! Mimi wazazi wangu walipata shida kunirudisha madarasa, manake kichwani kulikuwa hamna kitu kabisa yaani emte hedi, dah! nilipokuja kujitambua nilikuwa kiboko, ama kweli kila kitu kujitambua, hata katika utawala.
 
 
From drs la nne to form one?
 
Darasa lenye mambo mengi na mapya ni darasa la tano na sita, sioni kama ni afyye kumrusha haya madarasa mawili, maybe asisome drs la saba aende form one
 
Msubiri afike darasa la sita ndio umrushe.. Hapo anakuwa ile elimu ya msing kaipata sawa sawa.. La saba sio ishu sana!!
 
subiri afike la sita ndo umrushe form 1, mi wazaz wangu walifanya ivo pia darasa la saba sio muhim kivile
 
I do not advise. Mfumo wa elimu umetengenezwa such that katika kila stage mtoto anajifunza kitu fulani. Kumrusha darasa hata kama yuko bright kivipi kutamwadhiri mtoto maishani mwake. Read about skipping grades and their effects.
 
Nafanya vizuri sana darasani, nataka mwakani baada ya matokeo ya darasa la nne nimpeleke kidato cha kwanza.
Unatania au?
Yaani mwanf atoke drs la 4 mpk kidato cha kwanza! Maajabu.
BTW, uwezo wa mwnf kwa kila darasa unaendana na umri wake.
Utamrusha lakin kuna mahali atashindwa.muache tu unamuwahisha aende wapi?
 
Maisha hayana shot kat kk,ukimfundisha hvy mtoto atakuja kukwama mbelen maishan mwake kipindi ambacho utakuwa ushatoa jezi(kufariki)...acha mtoto asome kuwahi si kufika....
 
Mkuu unaposema anafanya vizuri darasani je ni kwa kiwango gani? Usikute anafanya vizuri mbele ya watoto wenye uwezo wa kawaida..

kama ikiwa mtoto wako uwezo na IQ yake ni "extra ordinary" ndio uwaze mambo ya kumvusha na kikubwa zingatia ushauri wa walimu wake..
 
Elimu ya msingi wangeipunguza na tungekuwa tunasoma kwa miaka 5 tu. Tunapotezeana muda sana kwa kurudia rudia Mambo Yale yale...

Primary unasoma Kiswahili, secondary unasoma ki English... Mambo Yale yale tu...

Unyau mtupu.
 
Akikisha nanasoma la saba mkuu isije kuonekana baadaye alifoji cheti

Kama walivyosema wadau mpleleaka la sita form 1 is too far
 
Subiri afikie sdt 4, pia uanze kumwandaa kisaikolojia, std 5 atakuwa bado mdogo kumududu form one, wengi nimeona wanarusha std 6 kwenda form one na wanamudu...tahadhari anaweza kufanya vizuri au akafanya vibaya hasa kwa mara ya kwanza akishika namba ya mbali tofauti na livyokuwa shule ya msingi na hili linaweza kumwathiri kisaikolojia akajiona hata mudu tena...ndio maana nimetangulia kukueleza umwandae kisaikolojia
 
Unaweza kumrusha... Isitoshe yanayosomwa la 5-7 ni hayohayo ataenda kuyasoma form one.

Nimeshuhudia watoto wengi tu wamerushwa madarasa.

Ila tatizo naloliona ni wanakua 'wanakua (growth)' wadogo kiakili za maisha wakati wamemaliza madarasa mengi. It's like you robe their childhood life

Mtazamo wangu tu kwa navyoona..... Kuna mtoto hapa alirushwa kutoka lanne hadi form one. Now ana miaka tisa yupo form two. Yaani ukimtoa darasani ni mtoto mdogo kabisa kiakili, anacheza na watoto wenzake wa 5/6 years. Anaendesha magari, katuni anazoangalia anazi apply hata nje (ufahamu wa kikubwa hana). Unaweza kumkuta anajenga nyumba ya matope anakwambia "The Pirates are coming[emoji23][emoji23][emoji23]".

Kama ni madarasa tu inawezekana, mrushe. Ila angalia na akili yake pia.... Kusoma darasa moja baada ya lingine kunaenda sambamba na ukuaji wa mtoto, kumjenga ufahamu wake nje ya masomo n.k
 
english media??????
kwa jinsi ulivoandika inajulikana kabisa wala mtoto wako sio kichwa kiasi cha kurushwa madarasa.
kama ni kichwa basi sijui amerithi akili za nani?
unafanya vizuri darasani wewe halafu arushwe mtoto? kivipi?
mtoto anarushwaje toka darasa la nne hadi form 1? are you siriaz meen?
au mtoto si wako manake kwa hija unazojenga sidhani kama mtoto ana akili kiasi hicho
 
Kama uliruka darasa la Saba na Form Four kwa kibali kinachotolewa na Jamhuri hii ya Muungano nae ambaye atakuomba hicho cheti,labda kama anatokea Jamhuri nyingine lakini sio hapa Bongo.
 
Bora afike LA 5 alafu ndio umreshi form one kiini chote cha Elimu kpo LA 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…