Hakika una watu wanadharau humu duniani tena ya kiwango cha juu hivyo basi wanatakiwa watendewe sawa sawa na kiwango cha dharau yao.
Iko hivi, kuna kijana niliona ana mfatilia mke wangu nami nikamwonya zaidi ya mara tatu. Hivi karibuni nikathibitisha kuwa ni kweli ametembea na mke wangu.
Sasa kwa kuwa nilishamuonya na hakusikia wala kuelewa, nataka nimfanyie jambo liwe kumbukumbu maishani mwake.
Kwa huyu mwanamke yeye ameshapata anachostahili.
Nikiwatazama wanangu naumia sana maana wanaenda kuishi maisha wasiyostahili hata kidogo.
Kwa maelezo hayo nipo tayari kutumia chochote ili tu lengo langu lifanikiwe.
Tafadhali, nishauri nini nimfanyie huyu ndugu kwa uzito uleule alionitendea mimi.
Iko hivi, kuna kijana niliona ana mfatilia mke wangu nami nikamwonya zaidi ya mara tatu. Hivi karibuni nikathibitisha kuwa ni kweli ametembea na mke wangu.
Sasa kwa kuwa nilishamuonya na hakusikia wala kuelewa, nataka nimfanyie jambo liwe kumbukumbu maishani mwake.
Kwa huyu mwanamke yeye ameshapata anachostahili.
Nikiwatazama wanangu naumia sana maana wanaenda kuishi maisha wasiyostahili hata kidogo.
Kwa maelezo hayo nipo tayari kutumia chochote ili tu lengo langu lifanikiwe.
Tafadhali, nishauri nini nimfanyie huyu ndugu kwa uzito uleule alionitendea mimi.