Nataka kulea mwanaume, awe wangu pekee yangu

niikuwa natagemea utasema "nina net salary ya Tshs. 3,000,000

kwa hiyo laki sita aisee, wewe ni mmoja wapo wa watu masikini wasio na uwezo wa kununua mwanaume. hata kujihudumia wewe mwenyewe tu haitoshi. sikutukani ila ukweli ndio huo.
 
a man is polygamy in nature
 
duh hii imeshapitwa na wakati hainabudi kuzipisha post nyingine yani toka 2011
 
niikuwa natagemea utasema "nina net salary ya Tshs. 3,000,000

kwa hiyo laki sita aisee, wewe ni mmoja wapo wa watu masikini wasio na uwezo wa kununua mwanaume. hata kujihudumia wewe mwenyewe tu haitoshi. sikutukani ila ukweli ndio huo.

Post ya 2011 may be kwa wakati huo ilikuwa na value.Ila hiyo hela haiwezi kumdhibiti mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…