ikiumasema
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 917
- 1,275
Kuna kitu kinaitwa opportunity cost...unajua kwanini mabiashara mengi ya watumishi hufa?.....utajuta narudia tena utajuta kukopa hela zako unakatwa kwa maumivu halafu unamwachia mtu akutafutie faida