Ndara Mbovu
Senior Member
- Feb 28, 2017
- 155
- 83
Kwanza Kabisa Ningependa Kumshukuru Mungu Kwa Kutuweka Salama Hadi Leo Hii.
Hapa ninapoishi kuna Vyama Vya msingi vya ushirika ambavyo vinahusika ununuzi au ukusanyaji wa mazao mfano Korosho, Mbaazi Choroko n. k,
Je Katiba inasema vipi kuhusu mipaka ya ufanyaji kazi vyama hivi?
Kama chama kikianzishwa kwenye Kata Fulani hakiluhusiwi kwenda kufanya kazi kwenye kata nyingine?
Hapa ninapoishi kuna Vyama Vya msingi vya ushirika ambavyo vinahusika ununuzi au ukusanyaji wa mazao mfano Korosho, Mbaazi Choroko n. k,
Je Katiba inasema vipi kuhusu mipaka ya ufanyaji kazi vyama hivi?
Kama chama kikianzishwa kwenye Kata Fulani hakiluhusiwi kwenda kufanya kazi kwenye kata nyingine?