Karhumanzira
Member
- Oct 19, 2011
- 50
- 9
Wana Jamii,
Nataka kujenga nyumba lakini kwa upande mwingine nataka niweke slab kwa juu nijenge chumba kimoja,sebule,choo,study room,2 conopi mbele na nyuma,sasa nataka kujua estimation cost
1.Idadi ya nondo
2.Idadi ya mifuko ya cement
3.Idadi ya tipper za mchanga na kokoto
4.Gharama ya mafundi,kuanzia kwenye column na zege kulimwaga
5.Total Grand Price estimation
Asanten
Nataka kujenga nyumba lakini kwa upande mwingine nataka niweke slab kwa juu nijenge chumba kimoja,sebule,choo,study room,2 conopi mbele na nyuma,sasa nataka kujua estimation cost
1.Idadi ya nondo
2.Idadi ya mifuko ya cement
3.Idadi ya tipper za mchanga na kokoto
4.Gharama ya mafundi,kuanzia kwenye column na zege kulimwaga
5.Total Grand Price estimation
Asanten