Tatemahunda
JF-Expert Member
- Sep 14, 2013
- 232
- 92
habari wana jf!! Mimi ni kijana wa kitanganyika..natamani kufanya kazi TANAPA niwe daktari wa wanyama..kwa sasa nina certificate ya general agriculture ila nataka nikasomee diploma ya mifugo...je! nikiwa na diploma ya mifugo naweza kujiunga na TANAPA??? au hadi niwe na elimu gani?? naombeni mnishauri tafadhali..........