Anzia Hapa *148*00#Kwa yeyote anayejua kifurushi kizuri cha Tigo cha mwezi: tafadhali nisaidie. Nipige namba gani?
Hivi vifurushi vya 10500 ni kwa ajili ya internet tu? Hutoweza kupiga wala msg?
Manake tigo wezi sana mimi nilijiunga cha mwezi cha elfu 30 ambacho wanasema ni unlimited internet kuperudi na GB 3 za kudownload ila kilidumu kwa ck 2 tu na sikuwa nimedownload chochote zaidi ya kuperuzi. Tigo wezi sana wameshaniibia mara nyingi sina imani nao.