Naomba unipe kazi ya kukusababishia ban ya exactly hizo week kadhaa unazohitaji!!!:A S 41:jamani mei leo nimeamua kuwa MOD wa kujitegemea, na kufuatia hilo na kutokana na sababu zilizo ndani ya maamuzi na uwezo wangu, sitakuwa hewani kwa wiki kadhaa, kuanzia leo saa kumi jioni..... nitawamiss sana.... hi to Kongosho, Mwali, Mtei One I hope nitakukuta umepunguza machungu maana Smile kanikimbia pia, BAGAH all ze best, Erickb52, tutawasiliana Saint Ivuga, Preta, Mtalingolo, AshaDii, Asprin, Cantalisia, Rejao na wengine woooooooooooote nitawakumbuka!!
Mwambie aende kwenye jukwaa lako mkakutane kule....Naomba unipe kazi ya kukusababishia ban ya exactly hizo week kadhaa unazohitaji!!!:A S 41:
Kama hili litafaa sana tu swaiba wangu!
dah!km utapita njia ya kwetu nipitishie bana!mate yamenitoka halafu sehemu nilipo hayapatikani kirahisi
Sijagawa mme wangu,Mbona unaanza kugawa vitu vya kababy ketu katarajiwa??:A S angry:
Hapo sawa....tunayahitaji sana ma darling.....:love::A S kiss:Sijagawa mme wangu,
Nilikua namwambia SS akirudi anailetee lingine km hili ili yawe mawili!
Teh ila una uzoefu na lile jukwaa maana mh lataka moyo...hahahaha,,, Erickb52, siku hizi nimekuwa mpole, siwasababishii tena watu ban!! natafuta kwenda peponi.
Kwa heri swaiba,uniletee zawadi ukirudi.
Nashukuru kwa kuliona hilo darling wangu!:A S-heart-2:Hapo sawa....tunayahitaji sana ma darling.....:love::A S kiss:
Na ningeyang'oa kweli!!!Teh ila una uzoefu na lile jukwaa maana mh lataka moyo...
Mbona mkeo Cantalisia umemwacha anatangatanga majukwaani hana uelekeo?
Teh natania aisee asijenitoa macho