TCU hawana shida mkuu. University of Rwanda ni chuo kikubwa sana. Na hyo miaka minne sio shida maana wao wanasoma miaka mitatu bila kwenda field then mwaka mwisho wote ndo wanafanya field.Wakuu, natamani kujiendeleza kimasomo, nimeona chuo Rwanda kimenifaa( UNIVERSITY OF RWANDA) Hasa kwa ada Ila kwa huko mda unaongezeka toka miaka mitatu huku kule ni minne, swali TCU watakikubali baada ya kurudi?View attachment 3351346
Ni kawaida kama Tanzania japo hela yao ina thamani sana kuliko ya kwetu.Vipi garama za maisha ya kichuo chuo hapo